Kitabu kilichoanza kuandikwa kisha kikaachwa kitamaliziwa katika hesabu hii

Tufanye kazi kwa bidii,tuachane na haya.
Yangekuwa yanatuhusu tungeandikiwa kwa lugha tunayoelewa. Hao heads of recruiting, logistics na finance hawatusaidii kwa Sasa hata tukiwajua.
 
Recrato, alikuwa kijana mwenye umri mdogo lakini ana nafasi ya Director of Research, Recruitment & Training.....
Alishika nafasi ya Logasto lakini hakuwahi hakusimikwa rasmi kuwa Logasto......
To(Tosamaganga) To(Toronto)....
Recrato akiwa 30's.......

The Director, anang'atuka,....
Maji yalizidi unga....
Circa 1985....

Logasto II....
Vyuma vilipenya.....
Wakati vinapenya mbizo zake zilikuwa ni CANADA.....
Mawasiliano yake hayakuwa mazuri na yeye alitonywa mapema....

Financo....
Akiwa 40's wakati huo....
Kakomaa kule TURTLE BAY halafu akarudishwa.....
Akapewa jukumu la kuongoza muunganiko wa kule nje......

HAYO MENGINE YA VITABU NI MARAHISI KABISA,...........
SISI YETU NI MACHO TU.......
 
Recrato, alikuwa kijana mwenye umri mdogo lakini ana nafasi ya Director of Research, Recruitment & Training.....
Alishika nafasi ya Logasto lakini hakuwahi hakusimikwa rasmi kuwa Logasto......
To(Tosamaganga) To(Toronto)....
Recrato akiwa 30's.......

The Director, anang'atuka,....
Maji yalizidi unga....
Circa 1985....

Logasto II....
Vyuma vilipenya.....
Wakati vinapenya mbizo zake zilikuwa ni CANADA.....
Mawasiliano yake hayakuwa mazuri na yeye alitonywa mapema....

Financo....
Akiwa 40's wakati huo....
Kakomaa kule TURTLE BAY halafu akarudishwa.....
Akapewa jukumu la kuongoza muunganiko wa kule nje......

HAYO MENGINE YA VITABU NI MARAHISI KABISA,...........
SISI YETU NI MACHO TU.......
Fungua code zaidi Malcom, hapa Bado Kuna maeneo sijawaelewa Vizuri.. turtle bay? Recrato amehusishwa na stronghold, huyo wa Tosa hakuwepo stronghold.
 
Kwao tabora
Kumbe wa
Fungua code zaidi Malcom, hapa Bado Kuna maeneo sijawaelewa Vizuri.. turtle bay? Recrato amehusishwa na stronghold, huyo wa Tosa hakuwepo stronghold.
MKUU upewe Nini!!?
Recrato-ma....hi...ga
Director-... Mzee mchonga marehemu.
Logasto II -k...o...m..be... im...ran
Financo.....niguse ninuke...Rondo
 
Kumbe wa

MKUU upewe Nini!!?
Recrato-ma....hi...ga
Director-... Mzee mchonga marehemu.
Logasto II -k...o...m..be... im...ran
Financo.....niguse ninuke...Rondo
Kwa mujibu wa mtoa post Imran akiwa ndio Logasto alipoanguka ndio nafasi yake akachukua Logasto II.

Mimi ninaona Financo ndio M..a..h..I..g..@ kwasababu miaka miwili kabla director hajaachia alimpeleka Canada akimtoa kwenye nafasi ya kukaimu ya dgis. Na huyu Baadae akaja kuongoza muunganiko wa nje enzi za jiwe.

Recrato mimi ninahisi ni mjeshi maana alitokea stronghold aka ngome. Na hapa Nampa nafasi kubwa Kiwelu maana alirudi kuwa CoS kipindi cha ruksa hivyo akawa namba mbili. Tena Baadae sana akapewa full jenerali ingawa hakuongoza stronghold.

Hapa Bado kuwafikiria hao namba mbili (II) kwenye kila idara. Aliyeongoza wote naye naona Giza tupu.
 
Kinafurahisha zaid ni kwamba Tumiaakili analost na wala harudi kwenye koment yan anatuchek tu tunavyohangaika na code bora hata Yoga
 
Back
Top Bottom