Championship
JF-Expert Member
- Aug 7, 2019
- 5,498
- 10,541
Sidhani kama kulikuwa na makubaliano maana wananchi ndio walitakiwa wapige kura. Ule uamuzi ulitoka juu kwa malkia na bosi wake US. Hawakuzingatia kuhakikisha wanafanya iwe nchi moja.yalifanyika makosa kuruhusu Zanzibar kubaki na utambilisho wake.
Kwani ilikuwa ruhusa au makubaliano? au kulikuwa na bwana na mtwana wakati wa kuungana?