Japo sija wahi kuviona na kuvisoma lakini maelezo yako yame nivutia sana....Nimesoma THe biggest secret,by davide icke kinaeleza jins secret society wanavyouhadaa ulimwengu,jins akina roschild wanavyozitawala nchi mbalimbali zinavyobambikiwa madeni,uwepo wa watu crossbreed ya mjusi,watu wenye upeo mkubwa ndo wanaoutawala ulimwengu,kumbe marekani pamoja na u super power wake bado ni koloni la uingereza mpaka leo
Nimesoma kitabu cha kiyosakiw why As student work for theCs student,ni kitabu kizur xn kinachokufanya usikate tamaa km huna elimu ya kutosha lakin uamin unawezakuwa tajiri na jinsi gani mitaala yetu inatufanya kuwa dormant financially na vingine vingi
karibu mkuu nikurushie kwenyeemailJapo sija wahi kuviona na kuvisoma lakini maelezo yako yame nivutia sana....