Undermine = -tekua, kwa mujibu wa kamusiProject
.
Undermine = tekua, kwa mujibu wa kamusiProject.
One of those words we don't use.Thanks for the education.
The Kamusi Project is really slow most of the time, and moving from host to host.
So ?
"The Kamusi Project is really slow," and it returns big Kiswahili words.
So ?
Undermine = -tekua, kwa mujibu wa kamusiProject
.
ningetafsiri anazamisha, anadumaza au didimiza
Now we are talking.. na kuitafsiri kauli yangu hapo juu utaifasrije ukitumia
"tekua"
So ?
"The Kamusi Project is really slow," and it returns big Kiswahili words.
So what Pundit?
Madela tafsiri neno hili "members should not undermine the efforts of the administration"..
tafsiri ya kauli nzima ikiwa na neno la "undermine"...
sasa neno kudhoofisha ni sawa na kupunguza nguvu (to weaken). Mtu ambaye ni dhaifu (which is the root word ya neno dhoofu) inahusiana na hali ya kuchoka nguvu, kupungua nguvu n.k
Nilitaka tutumie lile neno "tekua" alilolisema memba hapo nyuma.
Nitasaidia kama ninavyoweza kama ifuatavyo:
*Vukiza/Fukiza ni maneno yenye maana sawa,yaani kuweka kwenye mazingira ya moshi,iwe wa kuni au maVumba kwa nia ya kukausha kwa maana ya kuhifadhi au kufanya takatifu.
*Vundika au Vumbika:Haya ni maneno yenye maana sawa.Yaani kufanya ive au ioze:
*Compyuta:Hili sio neno la kiswahili,ila ni neno lililoazimwa kutoka kwenye kiingereza.
*Ingawa:Hili ni neno linalo halalisha udhuru.Kwa mfano,'ingawa sikwenda lakini mambo yatakwenda vizuri.'
*Msanii:Maana halisi ya msanii ni mstareheshaji,ingawa siku hizi msanii anaelezwa pia kama mtu asiye mkweli.
*Puchu:Hali ya kutokuwa na manyoya.
*Mkwara:kumkosoa mtu katika hali ya kukasirika.
*mwake:mazingira yanayomilikiwa na mtu husika.
Chuna:Toa ngozi.
Mbongo:Sina hakika sana ya neno hili,lakini nimesikia watu wengine wakilitumia wakimaanisha akili nyingi.