Saint Ivuga
JF-Expert Member
- Aug 21, 2008
- 54,363
- 58,386
NI AFISI au OFISI?Hiyo mobile phone number haipatikani...ipo kweli?
NI AFISI au OFISI?
..Ni maswali au maswala?NI AFISI au OFISI?
ok,nimekusomaZanzibar hakuna OFISI wala OFISA............ ni AFISI na AFISA........wako sawa kivyao...na hakuna SHULE iko SKULI.....Hakuna SOKO ila MARIKITI
read post number 3..kindergaten.Mimi nadhani kabla haujakurupuka na kuanza kutoa shutuma ungejipanga kwanza na kiswahili chako.
Mimi nadhani kabla haujakurupuka na kuanza kutoa shutuma ungejipanga kwanza na kiswahili chako.