Kiswahili kigumu sana

Nokla

JF-Expert Member
Aug 12, 2012
3,193
1,759
Hivi unaelewa maana ya maneno haya?

1. Sharubati
2. Lakili
3. Nywira
4. Kiotomotela
5. Vibanzi
6. Kipakatalishi
7. Diski mweku????
 
Ngoja niwe wa kwanza du! Tangia Jan 2015!

Sharubati = Juice
Lakili = Seal
Nywila = Password

Vingine ngoja waje kumalizia wengine.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom