2006 miaka 17.....umri wa John ni Mara 2 ya umri wa Juma, ikiwa umri wa juma ni nusu ya umri wa Jenas ambao ni miaka 20, tafuta umri wa John baada ya miaka 10.........Wema ndiye Miss Tanzania aliyeshiriki shindano la U-miss akiwa mdogo zaidi. Alikuwa na miaka 13 tu 2006. Ni kati ya watoto Majiniasi.
Kwa sasa ana miaka 30.!!!