Kisutu: Erick Kabendera ashtakiwa kwa Kujihusisha na mtandao wa uhalifu, ukwepaji kodi na kutakatisha fedha haramu

He was too stupid/naive kuandika makala kama zile halafu unaishi bongo na unaona kinachoendelea..He had it coming to him

Angeweza kuandika makala kama zile under a false ID, pia unaweza kufuatilia kila kitu bongo ukiwa nje, dunia ni kijiji hiki, zile makala zake zilikuwa zinachambua tu hotuba za magufuli, miradi anayoifanya na sera zake ambazo hata ukiwa Australia huko ukifuatilia utafahamu tu, au unaweza kuniambia ni vitu gani aliandika ambavyo mtu ukiwa nje huwezi kuvijua? vyote vipo wazi tu, sema yeye ameandika katika kuvikosoa

pia unaweza kuwa na watu wako bongo wanaokupa taarifa za ndani ambazo haziwekwi kwa waandishi, akina Mange kimambi, Ngurumo wanapata intel nzuri tu na wapo nje, hivyo ndivyo waandishi pragmatic, wanavyoishi kulingana na uhalisia wa hali, sio kujifanya unakufa kishujaa, kesho wanakusahau, unaacha familia inateseka na hakuna mabadiliko yoyote uliyofanikiwa kuyaleta sababu ulienda kiboya
Je kuna sheria alivunja??

Je hayo makosa ni yake au kabambikwa??
 
He is a chequebook journalism fanatic and he has to face the consequences of his actions.

Na wewe ni mmoja wa mamluki wengi tu humu hivyo jipangeni mkamsaidie ushauri wa kuandaa utetezi.
Natamani kujua sheria iliyovunjwa....
 
Kama ambavyo umesema u"nadhani" ukiwa unaendelea kudhani jiulize Je amefunguliwa Mashtaka kama Raia wa Tanzania au Raia wa kigeni aishie Tanzania kinyume Cha Sheria? Kisha pia Jiulize amehojiwa kwa Shtaka lipi as per charge sheet yake compared to hiki kinachoendelea Sasa?


Lengo la kutilia mkazo Mashtaka hayo ya Sasa Ni lipi?

Je kunahalalisha Zile tuhuma za awali dhidi yake kwamba yote waliyomtuhumu kwayo awali Hana hatia yoyote kwani yamekosa mashiko hisheria? Au tuamini kwamba baada ya Kumkosa Kwenye tuhuma za awali dhidi yake mmemtafutia Mambo ya kupika ili kumkomoa?

Mimi na wewe hatufahamu hili suala kwa undani hivyo hatuwezi kutoa hitimisho la moja kwa moja.

Lakini mara nyingi kiwa unakutwa una passport ya Canada au Uingereza waweza kupewa dhamana na ukasepa.

Hivyo hiyo option yawekwa pembeni na yatafutwa option ingine ya kukubana zaidi.

Inasemekana jamaa alikuwa anamiliki pasi zaidi ya moja.

Lakini hakuna anaefahamu zaidi ya hao walomkamata na mawakili wake ambao wao nao watapika pesa yao tu na maisha yataendelea.
 
Aisee siwezi kuendelea tena kujadiliana na mtu asiefahamu lugha mama ya kiswahili.

Kajifunze Kiswahili ndugu, anza mwanzo maana elimu kwa sasa ni bure.

Ntalipia gharama zote za masomo na posho ya kujikimu.
Wewe kichwa wazi kweli kweli. Unakimbilia kukosoa wenzako wakati wewe mwenye kiswahili chenyewe hujui. Wewe mlamba viatu hata milo mitatu kwako shida utaweza kweli kumsomesha hata mtoto kindergarten? Kama unaweza basi jisomeshe mwenyewe hata QT walao upate elimu kidogo ujiondoe kwenye utumwa maana inaonekana IQ yako iko chini sana. Ndiyo maana unatetea upuuzi na kulamba viatu vya wanaume wenzako. Boya wewe.
 
Mimi na wewe hatufahamu hili suala kwa undani hivyo hatuwezi kutoa hitimisho la moja kwa moja.

Lakini mara nyingi kiwa unakutwa una passport ya Canada au Uingereza waweza kupewa dhamana na ukasepa.

Hivyo hiyo option yawekwa pembeni na yatafutwa option ingine ya kukubana zaidi.

Inasemekana jamaa alikuwa anamiliki pasi zaidi ya moja.

Lakini hakuna anaefahamu zaidi ya hao walomkamata na mawakili wake ambao wao nao watapika pesa yao tu na maisha yataendelea.
Kwa Mujibu wa Vyombo vya habari Hakuna mahali limesemwa Hilo kwamba alikua ana miliki pasi ya kusafiria zaidi ya moja.

Kilichoripotiwa Ni kwamba walipekua Nyumbani kwake wakakuta hati 7 sa kusafiria kwamba Moja Ni ya kwakwe na Nyingine za Ndugu zake, ambazo zote walizichukua ili kutrace details zao ili walink na zake hususani katika tuhuma Yao dhidi yake hiyo ya kwamba isiyo Raia.

Na if and only if angekuwa ana miliki hati zaidi ya moja za kusafiria hauoni kwamba hiyo ndio ingekua "golden chance" kwa serikali kum deport na kumfungulia Mashtaka ya kuishi nchini kinyume Cha Sheria, pia wangeweza hata kumfilisi kwa kumpora makazi yake kwa mwamvuli kwamba wasio Raia wa Tanzania hawaruhusiwi kumiliki ardhi?
 
Unavyoongea hivyo, una taarifa kamili kuhusu kesi hii??
Wakikuonesha ma transaction kwenye account yake jinsi yalivyo, utabishaa???
Tukae kimya, huku vyombo vya nchi vikiendelea kutenda haki.
Sheria yenyewe sio ya haki. Yaani guilt till proven inocent!!!!
 
Wewe kichwa wazi kweli kweli. Unakimbilia kukosoa wenzako wakati wewe mwenye kiswahili chenyewe hujui. Wewe mlamba viatu hata milo mitatu kwako shida utaweza kweli kumsomesha hata mtoto kindergarten? Kama unaweza basi jisomeshe mwenyewe hata QT walao upate elimu kidogo ujiondoe kwenye utumwa maana inaonekana IQ yako iko chini sana. Ndiyo maana unatetea upuuzi na kulamba viatu vya wanaume wenzako. Boya wewe.

Umezoea kulamba viatu wadhania kila mtu ni kama wewe.
 
He was too stupid/naive kuandika makala kama zile halafu unaishi bongo na unaona kinachoendelea..He had it coming to him

Angeweza kuandika makala kama zile under a false ID, pia unaweza kufuatilia kila kitu bongo ukiwa nje, dunia ni kijiji hiki, zile makala zake zilikuwa zinachambua tu hotuba za magufuli, miradi anayoifanya na sera zake ambazo hata ukiwa Australia huko ukifuatilia utafahamu tu, au unaweza kuniambia ni vitu gani aliandika ambavyo mtu ukiwa nje huwezi kuvijua? vyote vipo wazi tu, sema yeye ameandika katika kuvikosoa

pia unaweza kuwa na watu wako bongo wanaokupa taarifa za ndani ambazo haziwekwi kwa waandishi, akina Mange kimambi, Ngurumo wanapata intel nzuri tu na wapo nje, hivyo ndivyo waandishi pragmatic, wanavyoishi kulingana na uhalisia wa hali, sio kujifanya unakufa kishujaa, kesho wanakusahau, unaacha familia inateseka na hakuna mabadiliko yoyote uliyofanikiwa kuyaleta sababu ulienda kiboya
Kwa kifupi ukiwa unafanya kazi ya wizi jifunze kukimbia
 
Kwa Mujibu wa Vyombo vya habari Hakuna mahali limesemwa Hilo kwamba alikua ana miliki pasi ya kusafiria zaidi ya moja.

Kilichoripotiwa Ni kwamba walipekua Nyumbani kwake wakakuta hati 7 sa kusafiria kwamba Moja Ni ya kwakwe na Nyingine za Ndugu zake, ambazo zote walizichukua ili kutrace details zao ili walink na zake hususani katika tuhuma Yao dhidi yake hiyo ya kwamba isiyo Raia.

Na if and only if angekuwa ana miliki hati zaidi ya moja za kusafiria hauoni kwamba hiyo ndio ingekua "golden chance" kwa serikali kum deport na kumfungulia Mashtaka ya kuishi nchini kinyume Cha Sheria, pia wangeweza hata kumfilisi kwa kumpora makazi yake kwa mwamvuli kwamba wasio Raia wa Tanzania hawaruhusiwi kumiliki ardhi?

Utakuwa depoted endapo utakuwa unamiliki passport moja tu na ni raia wa nchi hiyo na si passport ya hiyo nchi na ya Tanzania.
 
Utakuwa depoted endapo utakuwa unamiliki passport moja tu na ni raia wa nchi hiyo na si passport ya hiyo nchi na ya Tanzania.
Je Sasa hiyo tuhuma inayosemekana kwamba anazo hati zaidi ya moja za kusafiria Sasa imefutika?

Au imehalalishwa?

By the way tujifunze kuvumilia na kuheshimu haki na Uhuru wa Wengine kutoa maoni Yao hata kama hatuyapendi, huyo Mnayemuabudu Yeye Sio kiongozi wa Kwanza wa Taifa hili na hatakua wa mwisho kukosolewa kwa Lugha za namna hiyo hajaanza yeye na kamwe hatakua wa mwisho.

Mbaya na nzuri zote Ni sifa hivyo walio amua kujikita kuchambua na kuzikosoa sifa zake mbaya wasihesabiwe kama wahaini.


Hii chuki tunayoishakia Ni mbegu mbaya tunayoipanda kwa gharama za Kodi zetu iko siku wahusika ama vizazi vya wahusika Vitavuna kwenye shamba litokanalo na mbegu iliyopandwa na wazazi wao.

Magenge mengi ya Kigaidi ukisoma historical background zake unakuta yalitokana na uwepo wa tabaka Fulani dhidi ya jingine kwenye jamii.


Otherwise with you I rest my case!!
 
Je Sasa hiyo tuhuma inayosemekana kwamba anazo hati zaidi ya moja za kusafiria Sasa imefutika?

Au imehalalishwa?

By the way tujifunze kuvumilia na kuheshimu haki na Uhuru wa Wengine kutoa maoni Yao hata kama hatuyapendi, huyo Mnayemuabudu Yeye Sio kiongozi wa Kwanza wa Taifa hili na hatakua wa mwisho kukosolewa kwa Lugha za namna hiyo hajaanza yeye na kamwe hatakua wa mwisho.

Mbaya na nzuri zote Ni sifa hivyo walio amua kujikita kuchambua na kuzikosoa sifa zake mbaya wasihesabiwe kama wahaini.


Hii chuki tunayoishakia Ni mbegu mbaya tunayoipanda kwa gharama za Kodi zetu iko siku wahusika ama vizazi vya wahusika Vitavuna kwenye shamba litokanalo na mbegu iliyopandwa na wazazi wao.

Magenge mengi ya Kigaidi ukisoma historical background zake unakuta yalitokana na uwepo wa tabaka Fulani dhidi ya jingine kwenye jamii.


Otherwise with you I rest my case!!

Rest it good mate.
 
Fanyeni mambo mkijua kuwa watanzania sio wajinga. Hili tamko nadhani walengwa hawalielewi
 
UONEVU MKUU DHIDI YA MWANDISHI = ERICK KABENDERA.
"
Mwandishi wa habari nchini Tanzania Erick Kabendera Jumatatu, amepandishwa kizimbani na kusomewa mashtaka mapya ya uhujumu uchumi baada ya kuzuiliwa na polisi kwa zaidi ya siku saba.
Mashtaka mapya yanamtuhumu kwa kujihusisha na genge la uhalifu na uhujumu uchumi nchini na kukwepa kulipa kodi ya zaidi ya Sh. milioni mia moja za Kitanzania.
Kosa jingine ni la utakatishaji fedha zenye thamani ya zaidi ya Sh. millioni mia moja na sabini.
=================
UPDATE
"
Erick kabendera alikamatwa na police kwa tuhuma za Utata wa uraia wake ambazo zilithibitishwa na serikali kupitia Idara ya uhamiaji.
"
SASA HAYO MAKOSA YA UHUJUMU UCHUMI YAMETOKA WAPI!!!?.

Mnaleta ukakasi kiasi kwamba tunaanza kuamini kitendo cha kukatwa kwake ni Failed Abduction PlanView attachment 1173315
Mie nikajua mahakama ndo imesema kaonewa aisee, kwani wewe ndo mpelelezi wa kesi yake? kama ushahidi wa mtuhumiwa kutenda hayo upo kwa nini tusiachie mahakama iamue?
 
"Hata hivyo mshitakiwa hakuruhusiwa kujibu chochote kwasababu mahakama hiyo haina nguvu kisheria kusikiliza kesi za uhujumu uchumi na kesi itatarajiwa kusikilizwa tena tar 19" -- Sasa kama haina nguvu kisheria kuendeshwa mahakama ya kisutu kwanini mnaipeleka tena kisutu? Tangia mwanzo mlikuwa hamjui kwamba mahakama ya kisutu haina nguvu kisheria kusikiliza kesi za uhujumu uchumi? Haya Mambo ni kupotezeana mida.
 
Back
Top Bottom