TAJIRI MKUU WA MATAJIRI
JF-Expert Member
- Dec 1, 2010
- 5,916
- 10,709
Mwana harakati mahiri wa kutetea haki za watu weusi wajitambue na warudi kwenye asili yao Kissendi Nyanda Ntalima Mpandagoya amefariki dunia huko Sengerema mkoani Geita 🇸🇪.
Kissendi aliugua muda mfupi kabla ya kufariki kwake. Mipango ya mazishi inaendelea.
Bado wana familia hawajaweka wazi ni lini mwili wa shujaa huyo utarudishwa lini.
Pia, soma: Mjue Kissendi Nyanda Ntalima Mpandagoya Mkushi, Muongoza harakati za Waafrika kujitambulisha wao na asili yao