mmaranguoriginal.
JF-Expert Member
- Jan 1, 2014
- 4,060
- 459
jamani makonda bado ngumbaru kwenye siasa chafu,safi, uchwara n.k hakuna maana kumjadili hapa bado mchanga
Hassani Wakasuvi ni mwenyekiti wa CCM mkoa Tabora, mwenyekiti wa vyama vya ushirika Tanzania, Mjumbe wa vyama vya ushirika Afrika na Ulimwenguni, hivi malengo yanayofanana maana yake ni nini?Jamani yupi katika orodha hii anatokea CHADEMA? maana hao niliowawekea RED - CUF na BLUE - CCM .
WATU WENYE MALENGO YANAYOFANANA (WAJUMBE 20) TANZANIA BARA (14) 1. Dr. Christina Mnzava 2. Paulo Christian Makonda 3. Jesca Msambatavangu 4. Julius Mtatiro 5. Katherin Saruni 6. Abdallah Majura Bulembo 7. Hemedi Abdallah Panzi 8. Dr. Zainab Amir Gama 9. Hassan Mohamed Wakasuvi 10. Paulynus Raymond Mtendah 11. Almasi Athuman Maige 12. Pamela Simon Massay 13. Kajubi Diocres Mukajangwa 14. Kadari Singo
Du.....!, we Zanzi ASP, unawezaje kumwita member mwenzetu humuWapi Le Mutuz aka La baharia au Wilium Malecella aka Kubwa Ji..
Mode, hivi katika sheria zetu za jf, hii inaruhusiwa?!Kubwa Ji..
Kijana Makonda kweli ana guts!! kawatukana viongozi wote wa dini mbili kuu Tanzania kuwa wote ni ombaomba!! eti wanaomba misaada kutoka kwa mhe Lowassa!! na mhe Malecela kamuunga mkono -----ndivyo tuleavyo watoto wetu kana kwamba hakuna miiko, kule kuchaguliwa tena kuwa mbunge kwenye bunge la katika yaonyesha kuwa taifa linaekea kubaya kuhusu malazi ya watoto.
Sifa kuu ya kwanza ni awe Mtanzania mwenye akili timamu!. kisha ndipo haya mengine yote yanafuata!.
Pasco.2. Akina nani watakuwa Wajumbe wa Bunge Maalum la Katiba?
Kulingana na kifungu cha 22 kifungu kidogo cha (1) aya (a), (b) na (c) cha Sheria Nambari 8 ya 2011, Wajumbe wa Bunge la Katiba watakuwa: Kwanza, Wabunge wote wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Pili, Wajumbe wote wa Baraza la Wawakilishi la Zanzibar.Tatu, wajumbe 166 watakaopatikana kutoka katika Taasisi zisizo za kiserikali, Jumuiya za kidini, vyama vyote vya siasa vilivyosajiliwa, Taasisi za elimu ya juu, shirikisho la wafanyakazi,shirikisho la wakulima,shirikisho la wafugaji, shirikisho la watu wenye mahitaji maalum, na kikundi chochote cha wananchi kinachojulikana kwa jina lolote ambacho kina malengo yanayofanana.
. . . . . .maana yake ni kuwananga waislamu na lowassa.
ukiona mbwa yupo juu ya mti ujue kapandishwa!
Sifa kuu ya kwanza ni awe Mtanzania mwenye akili timamu!. kisha ndipo haya mengine yote yanafuata!.
Kulingana na kifungu cha 22 kifungu kidogo cha (1) aya (a), (b) na (c) cha Sheria Nambari 8 ya 2011, Wajumbe wa Bunge la Katiba watakuwa: Kwanza, Wabunge wote wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Pili, Wajumbe wote wa Baraza la Wawakilishi la Zanzibar.Tatu, wajumbe 166 watakaopatikana kutoka katika Taasisi zisizo za kiserikali, Jumuiya za kidini, vyama vyote vya siasa vilivyosajiliwa, Taasisi za elimu ya juu, shirikisho la wafanyakazi,shirikisho la wakulima,shirikisho la wafugaji, shirikisho la watu wenye mahitaji maalum, na kikundi chochote cha wananchi kinachojulikana kwa jina lolote ambacho kina malengo yanayofanana.
Pasco.
hakuna atakaekimbia nchi kamanda Lowasa amesema tutapigana na tutashinda pamoja. Lowasa Kasema wanaotaka aondoke waseme aendelee wapi?CCM tunahitaji Vijana kama Makonda wenye ujasiri wa kusimama na kuhesabiwa bila kujali anything, inaitwa Speak the Truth and let the chips fall where they may!!
Nasikia Malawi wanapokea wakimbizi kudadeki!!, mtalijua jiji!!
Es
Jibu swali kijana! Kabla sijakuweka kwenye ignored list yangu
Mkuu Pasco, hili ni jiwe..Sifa kuu ya kwanza ni awe Mtanzania mwenye akili timamu!. kisha ndipo haya mengine yote yanafuata!.
Pasco.
LOWASSA UNA SAFARI NDEU SANA.Mkuu Pasco, hili ni jiwe..