Ndallo
JF-Expert Member
- Oct 1, 2010
- 7,619
- 4,292
Wezi wa mifugo waliiba Ng'ombe kwa Mmasai na kumbakishia Ndama mmoja tu! Kisha wakamfunga yule Mmasai kwenye mti usiku kuchaa, Asubuhi yake majirani wakamuona yule Mmasai na kumpa pole baada ya Mmasai kuwaeleza kisa chote, na hapo yule Mmasai akasema sisitikii Ng'ombe wangu kuibiwa bali huyu Ndama waliyemuacha alikuja kuninyonya ***** usiku kucha akidhani ni ziwa la mama yake hapa nilipo niko hoi kanipigisha mabao 9!