Kirefu cha ''RB''

RB Number ndio sahihi kabisa. Unasema nina RB Number na sio nina RB.

mkuu, mimi nadhani hata neno 'RB Number' bado lingekuwa sio sahihi kwa kuwa hii ingemanisha 'NAMBA YA KITABU cha Ripoti', kana kwamba kuna vitabu vingi vya repoti (wakati kiuhalisia fomu/karatasi ndio zenye namba tofautitofauti kulingana na aina ya tukio).

Kwa usahihi kabisa hizo namba zingeitwa Report Numbe (RN)--Namba ya Ripoti.

hivi ndivyo nidhanivyo miye-
 
Wana UD vp hampo hapo maana ni wapenzi wa RB mnapoishiwa boom sorry mkuu ila sisi RB tunaitambua kama Rice Beans kiswaz wali maharage ni chakula kinachopendwa sana na wanafunzi pale wanapoishiwa boom maana ni sh 800/ tu Tsh
 
Wana UD vp hampo hapo maana ni wapenzi wa RB mnapoishiwa boom sorry mkuu ila sisi RB tunaitambua kama Rice Beans kiswaz wali maharage ni chakula kinachopendwa sana na wanafunzi pale wanapoishiwa boom maana ni sh 800/ tu Tsh

Teh teh teh teh teh teh teh au lile RB la cheka pale COET sh.600 tu siku inapita.
 
Laiti kama ungekuwa umesoma chuo kikuu ( I assume hujasoma coz hujui kirefu cha rb) ungekuwa umeshafahamu kuwa RB ni wali maharage (RICE BEANS) Teh!
 
Back
Top Bottom