Anayosema ni kweli bana! yaani watu mnamilikishana mpaka nyuchi zenu iweje simu? hata mimi mtu anaembinyia mwenza wake asicheze na simu yake simwelewi.Duh!! We unataka kuvunja ndoa zetu eeh?
Anayosema ni kweli bana! yaani watu mnamilikishana mpaka nyuchi zenu iweje simu? hata mimi mtu anaembinyia mwenza wake asicheze na simu yake simwelewi.
Nilitafta neno jengine skupata nikaona acha nilipue hilo hilo la real, unajua suala sio kuchukua simu yake suala ni kujenga mazingira ya kuondosha wasiwasi kwenye mahusiano. Unapomkatalia mwenza wako simu tayari unaindicate mazingira ya wasiwasi, na maisha ya wasiwasi ndio sumu ya ndoa.lawyer mbona unaongea matusi. Ila mi siwezi kuchukua simu yake aisee.
Nilitafta neno jengine skupata nikaona acha nilipue hilo hilo la real, unajua suala sio kuchukua simu yake suala ni kujenga mazingira ya kuondosha wasiwasi kwenye mahusiano. Unapomkatalia mwenza wako simu tayari unaindicate mazingira ya wasiwasi, na maisha ya wasiwasi ndio sumu ya ndoa.
Mimi huwa najiuliza, hivi kwanini ufanye mambo yako kupitia simu yako ambayo mpaka mwenza wako anaielewa? hivi hizi ni akili kweli? nadhani wengi wetu hatutathmini athari za simu kabla kugawa namba kwa watu ndio maana.ndio najua hutakiwi kuficha ficha simu yako ili kuepusha wasiwasi. Mimi sikuwa na mazoea ya kupekua pekuwa simu, kuna siku nilishika ile simu bht mbaya ila niliyoyakuta humo!! Uwiiiii.....!!!