Pinokyo Jujuman
JF-Expert Member
- Feb 5, 2012
- 552
- 104
Hivi kama mtu unataka kumgundua mpenzi wako kuwa ametoka kukucheat a day before hamjakutana au the same day mmekutana kimapenzi ni mambo gani ya msingi yanaweza kukufikisha kuibua ukweli huo hasa pale muwapo kwenye majambozi?