da mwenyewe niliiona hiyo nkawa naisubiri kwa hamu sana halafu mtangazaji akaanza kusoma kuanzia chini kwenda juu.....ila wabongo wanaishia kupiga kula kwenye simu tu siku ya uchaguzi hawaendi tuache unafki. kwa stahili hii hatuwezi kuing'oa xixim
Habari za uhakika watumishi wa serikali,wakulima,wanajeshi,wanafunzi wameichoka ccm!kina mama bado hawajaelewa vizuri
Kipimajoto cha leo ITV
'mabadiliko ya katiba katika CCM,je itakirudisha katika zama za waasi
si wake wa awali'?
Hapana=64%
Ndiyo=27%
Sijui=09%
Nape vueni magamba,badilisheni katiba ila wananchi HAWAWA AMINI,period.
Good point wakina mama wanatuangusha sana maana wao ndio walio wengi inabidi wakombolewe kwanza kifikra
CCM bado wana mtaji wa kura 200,000 Zanzibar ingawa ni asilimia ndogo sana (1%) ya wapiga kura Kitaifa (20,000,000?). Huku bara wanao mtaji wa Jaji Damian Lubuva na Afande Saidi Mwema, ila sina hakika kama hawa jamaa watasalimika na tsunami ya wanamageuzi mwaka 2015!Good point wakina mama wanatuangusha sana maana wao ndio walio wengi inabidi wakombolewe kwanza kifikra
Hawa watoa maoni si wapiga kura mzee, wapiga kura wako huko ambapo ITV haifiki kupata maoni.Hence work done equals to ZERO.
Tatizo lao wakipewa kanga na sisiem wakati wa kampeni za uchaguzi wanalewa kabisaaaa!Good point wakina mama wanatuangusha sana maana wao ndio walio wengi inabidi wakombolewe kwanza kifikra
mtaji wa ccm ni vijijini. Kwa kadiri maeneo yanavyokuwa hayajaendelea ndivyo yanavyozidi kuwa ngome ya ccm. Ndio maana elimu inavurugwa kila siku ili ujinga uendelee, mikopo haitolewi kwa wanafunzi maana waathirika ni maskini ambao ndio mtaji wa chama cha mafisadi.mwanamke akielimishwa hatampigia kura mtu kwa sababu ni handsome!
pima joto ya wachaga haiwezi kusema mazuri kwa ccm