Hakuwa mwizi huyu ajali ya bodaboda, I saw it somewhere. It is so unsightly!
Hakuwa mwizi huyu ajali ya bodaboda, I saw it somewhere. It is so unsightly!
Hao wanaonekana wanajeshi wa kulinda amani. Inawezekana jamaa alikuwa front akapata risasi au effect ya bomu. Mungu amsaidie apone.Huyu kapigwa risasi na sio bodaboda....angalia mijeshi hapo pembeni
duh kama ni boda boda haya bana, hii ni kenya nniionavyo
hii ni brazil mkuu, angalia label ya m-soldier begani.
isije kua ni Haiti!!!
Huyu kapigwa risasi na sio bodaboda....angalia mijeshi hapo pembeni
Hao wanaonekana wanajeshi wa kulinda amani. Inawezekana jamaa alikuwa front akapata risasi au effect ya bomu. Mungu amsaidie apone.
Mpagama we ni mwongo sana hebu angalia huyo polisi ana bendera ya brazil begani sasa dah!... i dare to call u MWONGOHakuwa mwizi huyu ajali ya bodaboda, I saw it somewhere. It is so unsightly!