katika hali isiyo kuwa ya Kawaida Polisi 5 wametinga Makumira Chuo na pira kuwa chukua Vijana wa LLB 2 wapato watano kwa kosa linalo husianishwa na mambo ya Kampeni Arumeru.Juzi usiku kada huyo wa CCM alikuwa anakunywa Pombe Maeneo ya Makumira eneo maarufu kama kwa Saimoni,katika kulewa alitofautiana kauli na Vijana walio kuwa hapo wakizungumzia mambo ya Siasa,katika kutukanana palizuka vurugu ambapo kada huyo wa CCM alipigwa na kusababishiwa kulazwa.Kilichoendelea CCM wamenunua kesi na kuihusianisha na vurugu za Kampeni.Vijana hao wamechukuliwa na hivi wako Polisi Usa River wakipokea kifinyo cha Polisi...
Nawasiliasha...
Nawasiliasha...