Mwanamke anapiga passport!,sjui huu ujuzi aliupata wapUchafu alikuwa mpaka anapiga passport anaenda kazini yaani anaosha kwapa tu na kwenye k anavaa anaenda kazini ukiondoka wiki ukirudi utakuta vyombo vichafu mpaka vina funza si ajabu ukakuta sufuria la ukoko ugari juu ya sofa, kiburi, dharau, mbishi, jeuri. Yule mdada wa kiha hapana aisee. Ajabu alikuwa hanuki k kabisa. Nilichokimiss kwake alikuwa umbo la kitusi akivua hips zimejaa hatari, alikuwa hana aibu kabisa mnaweza mkawa ndani akavua nguo zote akaanza kupika....!
Umenitisha mkuu
Usicheke sasa😃😂
Usiogope sisi tulishindwa nyie mtaweza.Umenitisha mkuu
SawaUsiogope sisi tulishindwa nyie mtaweza.
Leo hawapewi muongozo😃Poleni sana, hayanaga muongozo...
Tulipendana sana, tukapanga yote na kuahidiana yote!
Ukafika wakati mambo yakavurugika mimi nikiwa ndiye niliyeyavuruga kwa kuchoka kusubiri, kila mmoja akaendelea na maisha yake.
Ila, kwa kuwa alikuwa mtu wangu wa maisha nikashindwa maisha bila yeye…
The rest is history, we are happy in love!
Sisi tulikaa miaka, ni mimi ndio niliomba kurudiana kwa kuwa mimi ndio nilivuruga mambo.Ulikaa bila yeye kwa muda gani? Ni yeye ndo aliomba mrudiane? Na mm imenitoka hiii. Mdada kasema kachoka nikajibu sawa. Mwezi wq nne sasa kila mtu na mishe zake.
KATAA NDOAWanakuwa hawajuani vya kutosha maisha ya uchumba ni maisha feki maisha ya ndoa ni maisha halisi huwezi feki