gipsfuture
Member
- Aug 16, 2012
- 6
- 0
Hlw wana JF.... Kipi bora katika Maisha yetu ya sasa? kutafuta mwenza kabla ya kujipanga kimaisha au kujipanga kimaisha kwanza ndio utafute mwenza........ (Toa sababu ni kwanini iwe kabla au baada)
Tafuta kwanza hela,haya mambo ya kutafuta mpenzi wkt huna hela ndio chanzo cha kuja kutom**wa tu!
Hlw wana JF.... Kipi bora katika Maisha yetu ya sasa? kutafuta mwenza kabla ya kujipanga kimaisha au kujipanga kimaisha kwanza ndio utafute mwenza........ (Toa sababu ni kwanini iwe kabla au baada)
mh! Wewe ni mtu mke au mtu mme?
Hlw wana JF.... Kipi bora katika Maisha yetu ya sasa? kutafuta mwenza kabla ya kujipanga kimaisha au kujipanga kimaisha kwanza ndio utafute mwenza........ (Toa sababu ni kwanini iwe kabla au baada)
Tafuta kwanza hela,haya mambo ya kutafuta mpenzi wkt huna hela ndio chanzo cha kuja kutom**wa tu!
Vyote sawa, kwa sababu huwezi kutafuta mwenza kama huna maisha na huwezi kuwa na maisha kama huna mwenza. Katika kila mwanaume aliyefanikiwa kimaisha kuna mwanamke nyuma yake.
Vyote sawa, kwa sababu huwezi kutafuta mwenza kama huna maisha na huwezi kuwa na maisha kama huna mwenza. Katika kila mwanaume aliyefanikiwa kimaisha kuna mwanamke nyuma yake.
Kujipanga kimaisha kwa kiwango kipi kaka!yaani mara tu baada ya kununua kitanda au baada ya kununua kitanda na makochi au kununua kitanda,makochi na TV nk.nk.Hlw wana JF.... Kipi bora katika Maisha yetu ya sasa? kutafuta mwenza kabla ya kujipanga kimaisha au kujipanga kimaisha kwanza ndio utafute mwenza........ (Toa sababu ni kwanini iwe kabla au baada)
Na kwa kila mwanaume aliyefeli? hiyo theory tu ya kinamama kutaka kujipenyeza kipindi kile
Hlw wana JF.... Kipi bora katika Maisha yetu ya sasa? kutafuta mwenza kabla ya kujipanga kimaisha au kujipanga kimaisha kwanza ndio utafute mwenza........ (Toa sababu ni kwanini iwe kabla au baada)