FisadiKuu
JF-Expert Member
- Nov 19, 2015
- 8,108
- 13,348
Watanzania wenzangu, mara chache sana nakuja kwenye hili jukwaa. Leo nilikaa na kufikiri sana. Nikaona nije na hili swali.
Je, kipi ni bora kati ya Demokrasia na Utawala wa kifalme?
Kwa Nchi yetu kipi kitatupeleka mbele zaidi? Tunaona kila mtawala anayekuja anakuja either kutafuta fursa aneemeshe ukoo na watu wake wa karibu, Je kwa Ufalme itakuwa hivi pia?? Tukichagua Koo Moja wa kutuongoza hapa nchini, tuamue tuilishe na kushiba, bado watakuwa na ushamba huu wa kuuza na kufanya mambo ya hovyo?
Naomba wenye kuongeza nyama kwenye hii mada waongeze na wenye kukosoa wakosoe, sijataka kuandika mengi. Lakini kwa mustakabali wa Nchi, Tujiulize!
Je, kipi ni bora kati ya Demokrasia na Utawala wa kifalme?
Kwa Nchi yetu kipi kitatupeleka mbele zaidi? Tunaona kila mtawala anayekuja anakuja either kutafuta fursa aneemeshe ukoo na watu wake wa karibu, Je kwa Ufalme itakuwa hivi pia?? Tukichagua Koo Moja wa kutuongoza hapa nchini, tuamue tuilishe na kushiba, bado watakuwa na ushamba huu wa kuuza na kufanya mambo ya hovyo?
Naomba wenye kuongeza nyama kwenye hii mada waongeze na wenye kukosoa wakosoe, sijataka kuandika mengi. Lakini kwa mustakabali wa Nchi, Tujiulize!