Kiona JF-Expert Member Feb 3, 2012 933 240 May 5, 2012 #2 Kata shingo usitisheke na kelele watu wanasubiri mboga
andishile JF-Expert Member Apr 1, 2012 1,429 520 May 5, 2012 #3 kipanya hiki kingetoka jana ingekuwa poooa!ila kwa leo mkuu kashakata hizo shingo zao!
K Kaseisi Member Mar 6, 2012 99 41 May 5, 2012 #4 Ha ulifikiri wale mchwa nao ni kitoeo changu pia, Ebo chukua shoka na upotelee tumboni nyama we
Mzito Kabwela JF-Expert Member Nov 28, 2009 18,857 7,618 May 5, 2012 #5 andishile said: kipanya hiki kingetoka jana ingekuwa poooa!ila kwa leo mkuu kashakata hizo shingo zao! Click to expand... Shingo ya nan kwa mfano?
andishile said: kipanya hiki kingetoka jana ingekuwa poooa!ila kwa leo mkuu kashakata hizo shingo zao! Click to expand... Shingo ya nan kwa mfano?
lukindo JF-Expert Member Mar 20, 2010 8,466 9,028 May 5, 2012 #6 ndio tatizo la kuweka watendaji kwa misingi ya undugu na kujuana bila kuwaambia kuwa hizi ni ofisi za umma. nafikiri zaidi ilikuwa kwa Adam Malima\ Mimi nampa kipanya shahada ya uzamivu ...kuanzia mwezi huu wewe ni Dr. Masoud Kipanya (PhD ya heshima)
ndio tatizo la kuweka watendaji kwa misingi ya undugu na kujuana bila kuwaambia kuwa hizi ni ofisi za umma. nafikiri zaidi ilikuwa kwa Adam Malima\ Mimi nampa kipanya shahada ya uzamivu ...kuanzia mwezi huu wewe ni Dr. Masoud Kipanya (PhD ya heshima)