Kati ya wasanii ambao wanafanya kazi zao kwa weledi basi Kipanya ni mmoja wapo.Huyu Jamaa Tangu Mwaka Jana ameamua kuweka background nyeusi(giza) kumaanisha hili ni Taifa la mgao lisilo na suluhisho la kudumu la Nishati ya umeme.Yuko very consistent kwenye fani yake.Atakapojiridhisha kuwa Mgao ni historia(kama ahadi ya JK ilivyo) pengine katuni zake atazichora kwenye plain background
Pia anajua kufikisha ujumbe wake vizuri.Ukosoaji wake kupitia katuni sometimes unaleta logic kuliko hata mwandishi wa zaidi ya kurasa 3 za makala
Kati ya wasanii ambao wanafanya kazi zao kwa weledi basi Kipanya ni mmoja wapo.Huyu Jamaa Tangu Mwaka Jana ameamua kuweka background nyeusi(giza) kumaanisha hili ni Taifa la mgao lisilo na suluhisho la kudumu la Nishati ya umeme.Yuko very consistent kwenye fani yake.Atakapojiridhisha kuwa Mgao ni historia(kama ahadi ya JK ilivyo) pengine katuni zake atazichora kwenye plain background
Pia anajua kufikisha ujumbe wake vizuri.Ukosoaji wake kupitia katuni sometimes unaleta logic kuliko hata mwandishi wa zaidi ya kurasa 3 za makala[/QUOTE
Umenena mkuu!
Usimutushutumu mchonga kinyago, chambua kinyago kilichopo! usivunje kioo kwa kukuonesha uso wako uliokunjana, sawazisha uso wako.Mbona wapiga kura wenyewe wote ni wanaume? Au hii nchi haina wanawake? Mpuuzi sana we Kipanya.
Dada kula mboga za majani mbona nawaona wanawake wengiMbona wapiga kura wenyewe wote ni wanaume? Au hii nchi haina wanawake? Mpuuzi sana we Kipanya.
Mbona wapiga kura wenyewe wote ni wanaume? Au hii nchi haina wanawake? Mpuuzi sana we Kipanya.
Mbona wapiga kura wenyewe wote ni wanaume? Au hii nchi haina wanawake? Mpuuzi sana we Kipanya.
Mbona wapiga kura wenyewe wote ni wanaume? Au hii nchi haina wanawake? Mpuuzi sana we Kipanya.
Nakumbuka kuna siku huyu Kipanya alitoa katuni iliyowakebehi Magwandaa kwa kukiita chama chao CHADUMAA. Loooh salaaaa! Hayo matusi aliyovurumishiwa yanafika hata kilo billioni moja. Leo amewakebehi Magambaa, hizo sifa zake sasa.