Radhia Sweety
JF-Expert Member
- Aug 10, 2011
- 4,434
- 1,765
Namkubali sana KP
Namkubali sana Nathan Mpangala!
Namkubali sana KP
sawa Radhia, mi sina tatizo na weweNamkubali sana Nathan Mpangala!
Mbona wapiga kura wenyewe wote ni wanaume? Au hii nchi haina wanawake? Mpuuzi sana we Kipanya.
Kipanya ni M4c
Mbona wapiga kura wenyewe wote ni wanaume? Au hii nchi haina wanawake? Mpuuzi sana we Kipanya.
kama hii katuni inanasibishwa na na kura za jana bungeni, basi haina mantiki. kwanza kama dhaifu ndiyo hao chdm mbona walipiga kura za hapana. mbona hapo kwenye msitari hakuna mtu upande wa dhaifu!!!!!!!
kama katuni inahusu uchaguzi wowote ule, mbona maneno dhaifu na dikteta hayaendani! bora vichwa vya habari vingekua MASKINI na TAJIRI. watu wanampa kura tajiri wanamuacha maskini.
si jambo la kawaida watu kumpa kura dikteta. kipanya najua maana ya dikteta. kwanza dikteta hapendwi na watu. labda kama neno dikteta nalielewa tofauti. AMA KWELI WATANZNIA BADO TUKO NYUMA KIELIMU NA KIUCHAMBUZI. NDIYO SABABU TUNAWAOGOPA WAGANDA NA WAKENYA KTK JUMUIYA YETU. nilitegemema kuona watu wanamdis kipanya lkn kinyume chake anamwagiwa sifa!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!! makubwa haya!
Kipanya ameonyesha vizuri jinsi WATZ tulivyo wajinga. Udikteta tunaujua kweli?! Au tunaona demokrasia ghali?
kama hii katuni inanasibishwa na na kura za jana bungeni, basi haina mantiki. kwanza kama dhaifu ndiyo hao chdm mbona walipiga kura za hapana. mbona hapo kwenye msitari hakuna mtu upande wa dhaifu!!!!!!!
kama katuni inahusu uchaguzi wowote ule, mbona maneno dhaifu na dikteta hayaendani! bora vichwa vya habari vingekua MASKINI na TAJIRI. watu wanampa kura tajiri wanamuacha maskini.
si jambo la kawaida watu kumpa kura dikteta. kipanya najua maana ya dikteta. kwanza dikteta hapendwi na watu. labda kama neno dikteta nalielewa tofauti. AMA KWELI WATANZNIA BADO TUKO NYUMA KIELIMU NA KIUCHAMBUZI. NDIYO SABABU TUNAWAOGOPA WAGANDA NA WAKENYA KTK JUMUIYA YETU. nilitegemema kuona watu wanamdis kipanya lkn kinyume chake anamwagiwa sifa!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!! makubwa haya!
Mbona wapiga kura wenyewe wote ni wanaume? Au hii nchi haina wanawake? Mpuuzi sana we Kipanya.
Nimemkubali sana
Kati ya wasanii ambao wanafanya kazi zao kwa weledi basi Kipanya ni mmoja wapo.Huyu Jamaa Tangu Mwaka Jana ameamua kuweka background nyeusi(giza) kumaanisha hili ni Taifa la mgao lisilo na suluhisho la kudumu la Nishati ya umeme.Yuko very consistent kwenye fani yake.Atakapojiridhisha kuwa Mgao ni historia(kama ahadi ya JK ilivyo) pengine katuni zake atazichora kwenye plain background
Pia anajua kufikisha ujumbe wake vizuri.Ukosoaji wake kupitia katuni sometimes unaleta logic kuliko hata mwandishi wa zaidi ya kurasa 3 za makala
Sio kurasa kaka, BAJETI nzima ya CCM!!!