Nimemsikiliza vizuri Katibu mwenezi wetu wa CCM. Comred Paul Makonda akiwajibu washambulizi wake kuwa usomi wao usitumike kututesa bali utusaidie kutatua changamoto zetu za kila siku. Kauli hii imenifanya kujua kwamba kweli Makonda anajitambua.
Kwanini wasomi wetu wanajiona wao ni Watanzania wa daraja la kwanza? Kwamba wanastahili kupata unafuu kuliko Watanzania wengine kwa kila kitu? Kwanini hawafikirii kwamba elimu walizo nazo ni kwa ajili ya kutatua changamoto za Watanzania?
Najiuliza sana wanaomsema makonda kwamba anakosea kuwasikiliza wananchi, sijui wao ni Watanzania wa wapi? Sidhani kama kweli nia yao ni kulisaidia hili taifa.
Namtia moyo makonda, endelea na clinic zako kwa wananchi, usiache. Msaidie Mh Rais wetu kutatua kero za wananchi. Hata ningepewa mimi fursa kama yako. Ningefanya zaidi ya wewe. Kupendwa na wananchi ndio mtaji mkubwa kwenye siasa. Nakwambia mimi nikipewa fursa, hakika nitafanya zaidi ya wewe. Bila kupepesa macho, wafanyie kazi wananchi ipo siku watakulipa.
Ni mimi. Comredi M. Baraka. 0685292038. Ifakara mji. Morogoro.
Kwanini wasomi wetu wanajiona wao ni Watanzania wa daraja la kwanza? Kwamba wanastahili kupata unafuu kuliko Watanzania wengine kwa kila kitu? Kwanini hawafikirii kwamba elimu walizo nazo ni kwa ajili ya kutatua changamoto za Watanzania?
Najiuliza sana wanaomsema makonda kwamba anakosea kuwasikiliza wananchi, sijui wao ni Watanzania wa wapi? Sidhani kama kweli nia yao ni kulisaidia hili taifa.
Namtia moyo makonda, endelea na clinic zako kwa wananchi, usiache. Msaidie Mh Rais wetu kutatua kero za wananchi. Hata ningepewa mimi fursa kama yako. Ningefanya zaidi ya wewe. Kupendwa na wananchi ndio mtaji mkubwa kwenye siasa. Nakwambia mimi nikipewa fursa, hakika nitafanya zaidi ya wewe. Bila kupepesa macho, wafanyie kazi wananchi ipo siku watakulipa.
Ni mimi. Comredi M. Baraka. 0685292038. Ifakara mji. Morogoro.