Kipa Ally Salim anapaswa afundishwe jinsi ya kukaa golini penati zinapopigwa

Jemedari Kumbe yupo very fair katika chambuzi zake .
poor referee hii ni aibu kubwa, hakuna mwamuzi wa viwango vya kimataifa Tanzania ni wabeba bahasha tu au wenye mapenzi na timu Yao pendwa .
Hata magoli yaliyokataliwa ni utata mtupu .
Next derby ipendekezwe aletwe refa wa nje ya Tanzania
Game mbili zimeharibiwa na referees tena wadada
 
β€Ίβ€Ί 'π™ˆπ˜½π™„π™‰π™ 𝙃𝙄𝙄 𝙉𝙄 π™ƒπ˜Όπ™π˜Όπ™ˆπ™'

Ameandika mchambuzi Jemedari Said

"Nawapongeza Simba SC kwa kutwaa ngao ya jamii, nampongeza kijana wangu, Ally Salim kwa kuzuia penati (3) ni ushujaa mkubwa.

"Zaidi nampongeza Ally Salim kwa mbinu yake ya kutoka hatua moja mbele kabla mpira haujapigwa na kumuibia mpigaji na mwamuzi msaidizi ambaye ndio huwa mwenye shughuli ya kuangalia kama kipa ametoka kabla ya mpira kupigwa.

"Ukiangalia penati zote Ally Salim alikuwa anatangulia kutoka kabla mpira haujapigwa, hata ile moja (Ya Azizi Ki) aliyofungwa ni vile tu mpira ulikuwa na kasi.

"Nampongeza Ally Salim kwa mbinu hii ambayo leo imemsaidia kwa kutokuwa na waamuzi makini pia. Lakini nampa tahadhari, mbinu hii siku hizi ni HARAMU na ikitokea ukaokoa basi penati inarudiwa, hivyo leo penati zote (3) zingerudiwa. Ukibisha angalia video kwa umakini.

"Diarra anaweza kuwa mwalimu mzuri kwa namna alivyookoa penati yake kwa kuhakikisha mguu mmoja unabaki kwenye mstari wakati mpira unapigwa na sio kutokea mbele hatua moja.

"Simba furahieni leo na Ngao mmebeba, ila kwenye mechi zenye waamuzi makini msije mkarusha ngumi tu, kipa anatokea mbele hatua moja kabla mpira kupigwa ambayo ni makosa."

Jemedari Said
Mchambuzi wa Efm Radio

"Ally Salim anastahili pongezi nyingi kwa kile alichokionesha katika mchezo dhidi ya Yanga, kudaka penati (3) dhidi ya wanafainali sio mchezo.

"Lakini kuna jambo ambalo halikuwa sawa kwa upande wa waamuzi ambao ndio wenye jukumu la kusimamia sheria zote uwanjani.

"Ki kawaida golikipa wakati wa kudaka penati hapaswi kutoa miguu yake yote kabla mpigaji hajapiga mpira, lakini kwa Ally Salim ilikuwa tofauti alikuwa anatoka hata kabla mpira haujapigwa.

"Katika penati zote (3) alizocheza zilistahili kurudiwa kwani zilikuwa zinapigwa wakati ambao ameshatoka kwenye mstari.

"Bado tuna safari ndefu sana kuhusu waamuzi wetu na sheria hizi"

Edgar Kibwana
Mchambuzi wa Clouds fm radioView attachment 2716745
Mtalia sana mwaka huu
 
β€Ίβ€Ί 'π™ˆπ˜½π™„π™‰π™ 𝙃𝙄𝙄 𝙉𝙄 π™ƒπ˜Όπ™π˜Όπ™ˆπ™'

Ameandika mchambuzi Jemedari Said

"Nawapongeza Simba SC kwa kutwaa ngao ya jamii, nampongeza kijana wangu, Ally Salim kwa kuzuia penati (3) ni ushujaa mkubwa.

"Zaidi nampongeza Ally Salim kwa mbinu yake ya kutoka hatua moja mbele kabla mpira haujapigwa na kumuibia mpigaji na mwamuzi msaidizi ambaye ndio huwa mwenye shughuli ya kuangalia kama kipa ametoka kabla ya mpira kupigwa.

"Ukiangalia penati zote Ally Salim alikuwa anatangulia kutoka kabla mpira haujapigwa, hata ile moja (Ya Azizi Ki) aliyofungwa ni vile tu mpira ulikuwa na kasi.

"Nampongeza Ally Salim kwa mbinu hii ambayo leo imemsaidia kwa kutokuwa na waamuzi makini pia. Lakini nampa tahadhari, mbinu hii siku hizi ni HARAMU na ikitokea ukaokoa basi penati inarudiwa, hivyo leo penati zote (3) zingerudiwa. Ukibisha angalia video kwa umakini.

"Diarra anaweza kuwa mwalimu mzuri kwa namna alivyookoa penati yake kwa kuhakikisha mguu mmoja unabaki kwenye mstari wakati mpira unapigwa na sio kutokea mbele hatua moja.

"Simba furahieni leo na Ngao mmebeba, ila kwenye mechi zenye waamuzi makini msije mkarusha ngumi tu, kipa anatokea mbele hatua moja kabla mpira kupigwa ambayo ni makosa."

Jemedari Said
Mchambuzi wa Efm Radio

"Ally Salim anastahili pongezi nyingi kwa kile alichokionesha katika mchezo dhidi ya Yanga, kudaka penati (3) dhidi ya wanafainali sio mchezo.

"Lakini kuna jambo ambalo halikuwa sawa kwa upande wa waamuzi ambao ndio wenye jukumu la kusimamia sheria zote uwanjani.

"Ki kawaida golikipa wakati wa kudaka penati hapaswi kutoa miguu yake yote kabla mpigaji hajapiga mpira, lakini kwa Ally Salim ilikuwa tofauti alikuwa anatoka hata kabla mpira haujapigwa.

"Katika penati zote (3) alizocheza zilistahili kurudiwa kwani zilikuwa zinapigwa wakati ambao ameshatoka kwenye mstari.

"Bado tuna safari ndefu sana kuhusu waamuzi wetu na sheria hizi"

Edgar Kibwana
Mchambuzi wa Clouds fm radioView attachment 2716745
Ulishawahi kusikia kisa cha goli la mkono wa "mungu"?
 
Sheria za penati hazipo poa!! Zinambana golikipa lakini hazimbani mpigaji!! Wapigaji wasingeruhusiwa kutishia kupiga na kusita kisha wanapiga baada ya kipa kuwa amesharuka!!
 
Jemedari Kumbe yupo very fair katika chambuzi zake .
poor referee hii ni aibu kubwa, hakuna mwamuzi wa viwango vya kimataifa Tanzania ni wabeba bahasha tu au wenye mapenzi na timu Yao pendwa .
Hata magoli yaliyokataliwa ni utata mtupu .
Next derby ipendekezwe aletwe refa wa nje ya Tanzania
Game mbili zimeharibiwa na referees tena wadada
Lakini mwamnyeto alipozuia mpira kwa mkono ndani ya penalty box rafa alikuwa sahihi alipoacha kutoa penati!! Ukiamua kumlaumu refa mlaumu matukio yote hata yale yaliyotoa faida kwenye timu yako!!
 
Vyovyote vile, Yanga hawana wapigaji penati.

Aziz K aliweza kufunga kwa sababu lilikua ni shuti kali, ila na yeye angepiga kinyoronyoro kama wenzake kipa pia angedaka. Hawa wengine wameshaona kipa ni mwepesi upande wa kulia, bado wanamuelekeza wanapopiga, halafu wanapiga ki star, lazima umpe kipa sifa.

Hizo za kuanza kutoka hatua moja sioni kama ni sababu, sababu ni Yanga kutokuwa na wapiga penati.
Kweli hakuna wapigaji penalty pale.
 
Jemedari Kumbe yupo very fair katika chambuzi zake .
poor referee hii ni aibu kubwa, hakuna mwamuzi wa viwango vya kimataifa Tanzania ni wabeba bahasha tu au wenye mapenzi na timu Yao pendwa .
Hata magoli yaliyokataliwa ni utata mtupu .
Next derby ipendekezwe aletwe refa wa nje ya Tanzania
Game mbili zimeharibiwa na referees tena wadada
Vp kuhusu zile penalty ndani ya dkika 90
 
Back
Top Bottom