Kiongozi wa Kijeshi na Rais wa zamani wa Guinea atoroshwa Gerezani

BARD AI

JF-Expert Member
Jul 24, 2018
3,376
8,120
1699102731932.png

Waziri wa Sheria, Charles Wright, amesema Moussa Dadis Camara akiwa na Wanajeshi wengine wa ngazi za juu wametoroshwa katika Gereza la Central House walilokuwa wamefungwa ikiwa ni baada ya kutokea majibizano ya Risasi kati ya Jeshi na waliofika kumchukua.

Camara na wenzake walifikishwa Mahakamani tangu mwaka 2022, wakituhumiwa kupanga mauaji ya halaiki, na ubakaji ulioendeshwa na Vikosi vya Usalama ambapo watu 150 waliuawa wakati wa maandamano ya kuunga mkono demokrasia Septemba 28, 2009 ingawa Camara amekana kuhusika na alivituhumu vikosi vya Jeshi kufanya uhalifu huo.

Serikali ya Kijeshi chini ya Mamady Doumbouya iliyochukua madaraka kwa njia ya mapinduzi mwaka 2021 imesema itahakikisha inawapata wote waliotoroka na tayari imetangaza kufunga mipaka yote. Guinea ni kati ya Nchi 8 za Afrika Magharibi zilizofanya mapinduzi ya Serikali ndani miaka 3.

==============

The former head of Guinea's 2008 military junta, Moussa Dadis Camara, was sprung from prison by heavily armed men in Conakry in the early hours of Saturday along with three other high-ranking officers, Justice Minister Charles Wright said.

Local residents told Reuters military vehicles and special forces were policing the streets of the Guinean capital after shots were heard in the Kaloum administrative district, where Camara and others were held at the Central House prison.

"It was around 0500 (0500 GMT) that heavily armed men burst into the Central House of Conakry. They managed to leave with four defendants in the trial of the events of Sept. 28 including Captain Moussa Dadis Camara," the minister said on the radio.

"They will be found wherever they are," he said, declining to give further details of the investigation.

Guinea's borders have been closed to prevent the escapees fleeing the country, he said.

Camara and others have been on trial since last year, accused of orchestrating a stadium massacre and mass rape by Guinean security forces in which 150 people were killed during a pro-democracy rally on Sept. 28, 2009.

Camara has denied responsibility, blaming the atrocities on errant soldiers.

Residents near Kaloum said shots were first heard around 4 a.m. local time after which security was tightened on the streets and the entrance to Kaloum was blocked.

By late morning, the capital appeared calm with many soldiers still visible in some areas, ordering people to stay at home, Mmah Camara, a resident of Tombo district, said by phone.

Guinea is governed by military leader Mamady Doumbouya, who took power in a coup in 2021 - one of eight in West and Central Africa in the last three years. Mali, Niger, Burkina Faso, Chad and Gabon are also run by military officers.
 
Back
Top Bottom