Mchaka Mchaka
JF-Expert Member
- Jul 20, 2010
- 4,516
- 1,404
Ndugu Rejao huwa sipendi hoja zako lakini hii imenikuna na nilipoiona hii picha kwa mara ya kwanza kule MICHUZI nilijiuliza maswali mengi sana..nadhani mwenyekiti inatakiwa atoe ufafanuzi hapa..
idumu Tanzania..mungu Ibariki chadema yetu!
idumu Tanzania..mungu Ibariki chadema yetu!