REKEBISHO.
KIONGOZI MNYONYAJI MKUU AU MNYONYWAJI MKUU WA HAKI NI YUPI KATI YA HAWA KWA MLOLONGO
(1)katibu kata
(2)raisi
(3)waziri mkuu
(4)diwani
(5)makamu wa raisi
(6)mwananchi
(7)mbunge
(8)balozi nyumba kumikumi
nitawapanga mnyonyaji zaidi akiwa wa kwanza:
1. Mbunge
2. Raisi
3. Waziri mkuu
na mnyonywaji mkuu ni:
1. Mwananchi