Sizinga
Platinum Member
- Oct 30, 2007
- 9,101
- 6,027
Dah yule mbunge(CCM)ni mtu mzima kwelikweli...
Kasema mshahara wake wa kwanza 1970's ulikuwa 1200, alinunua kitanda, radio na sofa kwa ajili ya kumkaribisha GF(girlfriend) wake!!
Huyu ndie kamtetea Wassira akilala asipigwe picha!!kisa katoka mbali, na Mrema alipigwa picha denda linamtoka kalala bungeni. Kamwaga pumba hata point zake kwa taifa sijaziona!!
Dah magamba kazi ipo!!
Kasema mshahara wake wa kwanza 1970's ulikuwa 1200, alinunua kitanda, radio na sofa kwa ajili ya kumkaribisha GF(girlfriend) wake!!
Huyu ndie kamtetea Wassira akilala asipigwe picha!!kisa katoka mbali, na Mrema alipigwa picha denda linamtoka kalala bungeni. Kamwaga pumba hata point zake kwa taifa sijaziona!!
Dah magamba kazi ipo!!