Watu8
Platinum Member
- Feb 19, 2010
- 71,223
- 94,677
Wanapata madudu zaidi...hivi mnapokunywa hayo madudu mnapata nini ?
Wanapata madudu zaidi...hivi mnapokunywa hayo madudu mnapata nini ?
ARV ina vitu vinavyotumika kwenye chemotherapy, na ndio maana ukitumia nywele hunyonyoka, ini, figo na moyo hufeli, hatimae unakufa kwa ARV halafu wanasingizia HIVkwahiyo kumbe ARV nazo ni mjanga mkuu ?
Astaghafillulah !ARV ina vitu vinavyotumika kwenye chemotherapy, na ndio maana ukitumia nywele hunyonyoka, ini, figo na moyo hufeli, hatimae unakufa kwa ARV halafu wanasingizia HIV
Kamuone daktari wa figo utanishukuru baadae.Habari waungwana, jana nilinunua kinywaji cha MO EXTRA nikanywa.. Baada ya muda fulan nikaanza kujisikia tofauti...
Maumivu kiasi upande wa moyo kisha yakapotea...
Maumivu ya abnomial hasa upande wa kulia kupanda juu hado katikati ya kiuno na ubavu wa mwisho.... Usawa wa figo
Uvivu katika kufikiri ilhali najisikia uchangamfu kiasi....
Kuna aliyewahi kujisikia hali hii baada ya kutumia hiki kinywaji?
Wajuvi wa afya mna maoni gani juu ya kilichonisibu?.. View attachment 1145914
Wamasai my ass, wanakukula kinyeo sio?Kinywaji cha wamasai hicho kila ukikutana nao mjini wameshika mo energy
Amewatengenezea wajinga
Naona competitor wa Mo mmeanza kuanzisha nyuzi
Narobo menyeWamasai my ass, wanakukula kinyeo sio?
da mkuu nimecheka sana ha ha ha ha ha ha da humu rahaUnavyompenda Lissu unapata nini?
Kunywa tu kahawa ndugu sijatoa sheria bali ni maoni yangu tu mkuu...Kama kahawa ingekuwa na shida unayojaribu kueleza basi wengi wangeshaacha... Wewe mwili wako kushindwa kuhimili kahawa si kwa wote..
Angalia tafiti
Kinya minyiNarobo menye