nitonye
JF-Expert Member
- Dec 18, 2011
- 7,273
- 3,750
Hivi huyu mzee hanaga kwao kutwa kukaa hapa mjini nakufanya ufisadi na kuendeleza siasa za ujamaa wakati ni mnyonyaji. Kawaida wazee wakisha staafu wanaenda vijijini kwao kupumzika na wanaachana na siasa yaani mpaka meno yameisha mdomoni lakini bado anapiga jalamba. Wazee kama hawa tumewachoka hapa mjini