Kingunge Ngombale Mwilu rudi kijijini na wewe ukapumzike

mkuu tema mate chini kama una babu ama bibi....
Nilikuwa kimara mwisho siku moja nikawa kwa dada mmoja namsalimia sina miezi miwili..baada ya muda ikatokea gari ikapiga break kama inamkosa mtu...kwa madereva mnajua mlio wa break akasema ""mpe"""nkamwambia loh vibaya hivyo....wakati tunajitayarisha kutoka akakuta nyumba ya tatu alio dadake wanalia ambaya tukasema twende ndugu mtoto wa dadake kagongwa na ndio alikuwa amekoswa koswa mungu ni mwema ajaweza kutembea sawa sawa lakini anapumu so ni kama hayo ..kuwa makini
ubarikiwe

Hebu anza tena sijakupata...
 
Back
Top Bottom