Bokombe Omarobha
Member
- Jul 19, 2013
- 48
- 9
Unafiki ulioko ccm muda mrefu unamfanya kingunge ajishangae mwenyewe, kwani nchi hii ni ya wananchi sio ya chama cha siasa asituvuruge na ukongwe wake. kwani muungano wa serikali mbili sio msahafu, ulikuwa wa Nyerere na karume, yeye alibaki anashabikia tu hadi leo, atuache wananchi tujadili katiba yetu, mbona hajishangai wakati ule alikuwa kijana leo ni kikongwe, angekataa abaki na ujana wake milele, kwani mpaka sasa tunapigania uhuru tena tubaki na katiba ile ile waliyoandika wachache? kingunge weeeeee!