Hiyo ni sawasawa imekaa vizuri.
Huyu ni mwalimu wangu,namkubali sana kwa kusimamia ukwel,hajui kupindisha wala kuuma maneno na rushwa kwake ni zaidi ya adui ni kifo kabisa
Hiyo ni sawasawa imekaa vizuri.
JAJI mstaafu wa Mahakama Kuu ya Tanzania,Raymond Mwaikasu, amewataka wajumbe wa Bunge Maalumu la Katiba kuondoa kinga inayomlinda rais wakati anapostaafu ili aweze kufikishwa mahakamani pindi inapobainika amevunja katiba wakati wa utawala wake.
Jaji Mwaikasu alitoa wito huo jijini Dar es Salaam jana alipozungumza na viongozi wa dini walipokutana kujadili mwenendo wa Bunge Maalumu la Katiba linaloendelea mjini Dodoma.
Alisema kuondolewa kwa kinga hiyo kutasaidia kudhibiti baadhi ya watu wanaotarajia kuingia madarakani kwa ajili ya kujinufaisha binafsi badala ya kulinda katiba.
Chanzo: Tanzania Daima la 27/3/2014
itakuwa safi sana!JAJI mstaafu wa Mahakama Kuu ya Tanzania,Raymond Mwaikasu, amewataka wajumbe wa Bunge Maalumu la Katiba kuondoa kinga inayomlinda rais wakati anapostaafu ili aweze kufikishwa mahakamani pindi inapobainika amevunja katiba wakati wa utawala wake.
Jaji Mwaikasu alitoa wito huo jijini Dar es Salaam jana alipozungumza na viongozi wa dini walipokutana kujadili mwenendo wa Bunge Maalumu la Katiba linaloendelea mjini Dodoma.
Alisema kuondolewa kwa kinga hiyo kutasaidia kudhibiti baadhi ya watu wanaotarajia kuingia madarakani kwa ajili ya kujinufaisha binafsi badala ya kulinda katiba.
Chanzo: Tanzania Daima la 27/3/2014
Ni kweli kabisaHuyu Jaji mwingine atasababisha JK arudi tena bungeni 'kutolea ufafanuzi' jambo hilo. Tunakoelekea, JK ataanza kuwachukia majaji
Kwanza hata hili swala la kiongozi kuwa na kinga ya kushitakiwa ni sheria ya kipuuuzi kuliko sheria nyingine yoyote. wewe ni nani ufanye utakalo bila kufanywa chochote? tena ukizingatia wewe n ikiongozi mkuu wa nchi, na hzi sheria za kipuuzi ndizo zinazo sababisha hawa mabwana wakubwa kujisahau na kulopoka utumbo ambao unaweza kusababisha vurugu kubwa, kama "wapingwe tu" Ohhh CCM wamechoka uvumilivu"...hili swala la kutoa kinga lilitakiwa lifanyiwe marekebosho ata kesho bila hata kusubiri katiba mpya
mkuu sheria kama hiyo si upuuzi ni katika kujaribu kuipa heshima taasisi ya Urais, kwa maana kwamba Rais ndiyo ofisi kubwa kabisa na yenye mamlaka nchini, hivyo ni matumaini ya wengi kwamba anayeshika hiyo ofisi ni mtu mwenye maadili na anayesheshimika katika jamii, hivyo kulinda heshima ya ofisi hiyo na kumpa aliyeshika ofisi hiyo muda mzuri wa kuwatumikia wananchi, kupunguza mianya ya kumshtaki mara kwa mara mahakamani, kwani mwenye ofisi anaweza kuwa busy na kesi mahakamani akashindwa kutimiza wajibu wake vyema, ofisi ya rais kutokana na majukumu yake kwa wananchi ipo katika nafasi ya kupata mashitak amengi kutokana na kuhusika kwake moja kwa moja kwa mambo yanayowagusa wananchi kisiasa, kutoa mwanya wa kushitakika kutafungua nafasi kwa mashitaka mengi mengine yasiyo na lazima kuyafungua na kusababisha utendaji wa ofisi namba moja kupungua kwa kiasi kikubwa
nameless girl,umepona mrembo? Nitakutafuta siku yoyote nikuambie jamboGood point.
nameless girl,umepona mrembo? Nitakutafuta siku yoyote nikuambie jambo