The King of Jews
JF-Expert Member
- Aug 11, 2013
- 478
- 108
Nagamhitila amashandikwa genaya natogwa nho.....nalinhumbilija uyo wenhile umhuji umhu ne nguno entale twimane umhise amhasukuma.......natogwa gete....
Sukuma ni collective term, ndani yake utakuta banantuzu (hawa wanapatikana sehemu za Bariadi, baadhi ya sehemu za wilaya ya Magu ambayo kwa sasa inaitwa Busega, baadhi ya sehemu za wilaya ya Bunda na Serengeti), banang'weli(hawa wanapatikana sehemu za wilaya ya Magu, Mwanza, Kwimba, Misungwi, Sengerema, Biharamulo na Geita), badakama(hawa wanapatikana sehemu za Shinyanga, Kahama, Ushirombo, Bukombe, Nzega, Igunga na Urambo) banang'ung'u(hawa wanapatikana sehemu za Meatu, banang'wagala(hawa wanapatikana sehemu za wilaya ya Maswa) lakini wote hao kwa kiasi kikubwa wanasikilizana ingawa kuna tofauti kwa baadhi ya maneno na kama maneno yanafanana kuna basi matamushi yanatofauti kidogo. Mfano banantuzu watasema biya kwa maana ya kukataa lakini banang'weli watasema yaya, banantuzu watasema busisi kwa maana ya ukwaju lakini banang'weli watasema bushishi.
Bagosha nise twimane a bhanu abali umu. Nasoma mashandikwa ga majogoli naduma ukumana gete. Ndiganika pye muli mhola. Welelo abize ning'we.
Muliwapanga wadugu wane wosye ku-jf?
Bagosha nise twimane a bhanu abali umu. Nasoma mashandikwa ga majogoli naduma ukumana gete. Ndiganika pye muli mhola. Welelo abize ning'we.
Biyo bagakwabaga gumachimbo bebe gukwaba mungh'wani, aho tolibado twigwaga balihaya, oja gukwaba ng'wadubi, nulu busolwa..
...
Wahbeja Ngosha.nhu Nene nagadehba amadale gise abhasukuma uninene naliwashinyanga ...
Ila nakwigeshanga kunu nghwa'ani madasalam.....nizile kukwabha......
Muli bapanga badugu bane pye abose ng'wenumu mu-JF? Kweli tunatofautiana sana matamshi tena kwa kiasi kikubwa sana. Sentensi niliyoiandika hapa ina maana sawa na ile ya kwako!
Biyo bagakwabaga gumachimbo bebe gukwaba mungh'wani, aho tolibado twigwaga balihaya, oja gukwaba ng'wadubi, nulu busolwa.
nimelielewa neno hilo tuuu
yu bagalu gushi ejisuguma jisumba giki ugwandika umkomputa, ja b'elelaga gete. nahane bagalu
mnanena kwa lugha au mnaropoka kwa lugha?
Hivi Malindi iko TZ AU KENYA ?!