Kinehe a bhanu mulimo umu?

gashinaga hangi abanhu milho bingi gete JF! unene nali ngika ihaha nazunya nkomoji napela gete imbina. Akabuzi gaise gineka natogwa gete. Inzagamba ishapi abiswe abanantuzu dugasinzaga dotemya shaza iki dubuli du lalu
Otesukuma obhebhe,ulikola gete mandunshi gang'wakagame.
 
aliko namhala umo akabyaghi Ghuku ona agitanagwa Mabhula mdodo aha dutwa hanaho
Natamanile. Aliko sengi i-Dutwa, akagishiwagwa ng'wa Dossella, Undebile? Kwenuko kalibu na chalo sha Igaganulwa na Kibishi
 
Ndo maana nasema hakuna kabila primitive kama wasukuma. Hata kwenye gari unakuta mmoja kaka kule nyuma anaongea kwa masauti na aliyekaa kule mbele, bila kujali wanawapigia kelele wenzao wasiohusika...
Tuleshene nkoi tulekejege du
 
Sukuma ni collective term, ndani yake utakuta banantuzu (hawa wanapatikana sehemu za Bariadi, baadhi ya sehemu za wilaya ya Magu ambayo kwa sasa inaitwa Busega, baadhi ya sehemu za wilaya ya Bunda na Serengeti), banang'weli(hawa wanapatikana sehemu za wilaya ya Magu, Mwanza, Kwimba, Misungwi, Sengerema, Biharamulo na Geita), badakama(hawa wanapatikana sehemu za Shinyanga, Kahama, Ushirombo, Bukombe, Nzega, Igunga na Urambo) banang'ung'u(hawa wanapatikana sehemu za Meatu, banang'wagala(hawa wanapatikana sehemu za wilaya ya Maswa) lakini wote hao kwa kiasi kikubwa wanasikilizana ingawa kuna tofauti kwa baadhi ya maneno na kama maneno yanafanana kuna basi matamushi yanatofauti kidogo. Mfano banantuzu watasema biya kwa maana ya kukataa lakini banang'weli watasema yaya, banantuzu watasema busisi kwa maana ya ukwaju lakini banang'weli watasema bushishi.
bhofu...
bhosu...
 
Ndo maana nasema hakuna kabila primitive kama wasukuma. Hata kwenye gari unakuta mmoja kaka kule nyuma anaongea kwa masauti na aliyekaa kule mbele, bila kujali wanawapigia kelele wenzao wasiohusika...
Nyanina ....nani agakuwila uje mwanza nru shinyanga ulu utatogwile bhanu wayoombe igashaga kaya
 
6 Reactions
Reply
Back
Top Bottom