Tony Gwanco
JF-Expert Member
- Jan 22, 2013
- 5,913
- 1,208
Speaker wa zamani bunge la EAC Abrahaman Kinana ametajwa kuwa kiongozi wa jopo la waangalizi wa uchaguzi ujao nchini Kenya kutoka nchi wanachama wa EAC.
My take:
Huyu jamaa anatajwa kuhusika na wizi wa nyara za serkali; je, ana-fit hapo?
Chanzo: BBC
My take:
Huyu jamaa anatajwa kuhusika na wizi wa nyara za serkali; je, ana-fit hapo?
Chanzo: BBC