Andrew Kellei
JF-Expert Member
- Sep 11, 2009
- 348
- 123
Ndugu zangu naomba kujua huyu mwenyekiti wa kampeni wa CCM amepotelea wapi?
Nauliza hivi kwa sababu nilizoea kumsikia akijibu kila hoja inayotolewa na dokta(wa kusomea).Mara ya mwisho alionyesha zile risiti za kukodi ndege aliyopanda mama Salma.
Sasa nauliza waandishi mmemsusia?
Nauliza hivi kwa sababu nilizoea kumsikia akijibu kila hoja inayotolewa na dokta(wa kusomea).Mara ya mwisho alionyesha zile risiti za kukodi ndege aliyopanda mama Salma.
Sasa nauliza waandishi mmemsusia?