dudus
JF-Expert Member
- Feb 28, 2011
- 22,129
- 49,391
Ukisikia utaahira ndio huu. Bado siasa zilezile za majitaka ambazo wapinzani wao wakitaka wanaweza kuzihubiri vizuri sana. Bado hawajifuzi kutokana na la ugaidi na udini ambalo waliliasisi lakini leo hadi Mkuu wa nchi kisha ingizwa humo! Bado hajajifunza muda sio mrefu Chadema watathibitisha CCM ndio waasisi wa udini nchini? Bado anaendekeza siasa za maji taka?
Nawaonea huruma sana hawa CCM kwa sisasa zao hizi. Sawa kaifananisha CDM na Savimbi; kesho CDM nao wakiibuka na kunadi kwa wananchi CCM ni sawa na tawala za kifashisti za Ulaya Mashariki ya enzi hizo akina Romania ambao walikuwa washirika wazuri wa magamba? Kama watawala wa tawala hizi walipigwa risasi hadharani kutokana na matendo maouvu kwani swahiba wao CCM viongozi wake nao wasipigwe risasi kutokana na ukatili waliolitendea taifa hili?
Wasishangae wananchi kuandamana kudai viongozi wetu wastaafu wanyongwe hadharani! Huyo anacheza michezo ya hatari sana sababu tu ya ukusoefu wa busara au ulevi wa madaraka au vyote. Siasa za maji taka hazijengi sana sana zitakurudia! Ni ushauri tu.
Nawaonea huruma sana hawa CCM kwa sisasa zao hizi. Sawa kaifananisha CDM na Savimbi; kesho CDM nao wakiibuka na kunadi kwa wananchi CCM ni sawa na tawala za kifashisti za Ulaya Mashariki ya enzi hizo akina Romania ambao walikuwa washirika wazuri wa magamba? Kama watawala wa tawala hizi walipigwa risasi hadharani kutokana na matendo maouvu kwani swahiba wao CCM viongozi wake nao wasipigwe risasi kutokana na ukatili waliolitendea taifa hili?
Wasishangae wananchi kuandamana kudai viongozi wetu wastaafu wanyongwe hadharani! Huyo anacheza michezo ya hatari sana sababu tu ya ukusoefu wa busara au ulevi wa madaraka au vyote. Siasa za maji taka hazijengi sana sana zitakurudia! Ni ushauri tu.