Utajiju, kwani kuna mkutano gani wa chadema usiozingumzua ccm?
Nadhani mikutano yote ya UPINZANI lazima izungumzie CCM na JINSI ya kuiondoa Madarakani iwe CUF; NCCR; CCJ na Vingine sio hicho CHADEMA pekee... au unataka kusema vyama vingine vya upinzani haviongelei CCM hata kidogo?
Sasa Vinaongelea nini kwenye Majukwaa yao?