Kinana atoe majibu kuhusu clip hii akiwa Loliondo/Ngorongoro na Mfalme wa Dubai

Da kweli tumbo mponza tako!!
actually,
mwenyewe majukumu na wajibu mbele ya umma hawezi babaika na mambo yaliyokwishafanyika kwa uwazi tena mchana kweupe 🐒

hayo masuala ya pua, sijui tumbo au nini ni mihemko tu isiyo na tija nadhani ni masuala yako binafsi baki nayo 🐒
 
Unaleta ushabiki wa uchawa, unasahau kuwa wajukuu wako hawatakuwa na madarka kama wewe (in case uko serikalini/ccm na madaraka....maana hatujuani humu JF ingawa unaweza kukisia huyu ni fulani). Weka uchawa kando tetea tanganyika. Kesho ikizuka civil war you will not be spared. Kuepusha hayo waambie akina Kinana to stop what they are doing!
Kweli una muda ndugu yangu...mimi sina muda wa kujibizana na takataka.
 
View attachment 2983088

Wengi wanafahamu sekeseke la Loliondo Ngorongoro huku likipamba kasi baada ya Wamasai wote kuambiwa waondoke kinguvu.

Clip ambatanishi hapo juu ni Makamu Mwenyekiti akiwa na ugeni mzito huko mbugani, swali je alikua akimpokea kama mgeni wake binafsi ama kwa niaba ya Samia?!! Kwa nini sio waziri wa utalii?!! Kwa nini kumeambatana na dege kubwa kabisa la mizigo maporini?!! Ndege za kimataifa tunatambua hutua airport ya KIA ama Arusha Airport, hili jidege ilikuaje likaenda direct maporini?!!
Hapo hakuna cha ajabu kwani huyo ndiyo zake, kuna wakati alitaka kulazimisha meli yake ifike Ngorongoro!
 
View attachment 2983088

Wengi wanafahamu sekeseke la Loliondo Ngorongoro huku likipamba kasi baada ya Wamasai wote kuambiwa waondoke kinguvu.

Clip ambatanishi hapo juu ni Makamu Mwenyekiti akiwa na ugeni mzito huko mbugani, swali je alikua akimpokea kama mgeni wake binafsi ama kwa niaba ya Samia?!! Kwa nini sio waziri wa utalii?!! Kwa nini kumeambatana na dege kubwa kabisa la mizigo maporini?!! Ndege za kimataifa tunatambua hutua airport ya KIA ama Arusha Airport, hili jidege ilikuaje likaenda direct maporini?!!
MSUMARI UMEWAINGIA CHADEMA WASHAANZA KUUNGAUNGA VICLIP KUMCHAFUA COMRED
 
View attachment 2983088

Wengi wanafahamu sekeseke la Loliondo Ngorongoro huku likipamba kasi baada ya Wamasai wote kuambiwa waondoke kinguvu.

Clip ambatanishi hapo juu ni Makamu Mwenyekiti akiwa na ugeni mzito huko mbugani, swali je alikua akimpokea kama mgeni wake binafsi ama kwa niaba ya Samia?!! Kwa nini sio waziri wa utalii?!! Kwa nini kumeambatana na dege kubwa kabisa la mizigo maporini?!! Ndege za kimataifa tunatambua hutua airport ya KIA ama Arusha Airport, hili jidege ilikuaje likaenda direct maporini?!!
Hivi hizo sehemu zimekodishwa au kuuzwa shs ngapi? Na hela zimeingia mfuko Gani na mbona hatushirikishwi
 
View attachment 2983088

Wengi wanafahamu sekeseke la Loliondo Ngorongoro huku likipamba kasi baada ya Wamasai wote kuambiwa waondoke kinguvu.

Clip ambatanishi hapo juu ni Makamu Mwenyekiti akiwa na ugeni mzito huko mbugani, swali je alikua akimpokea kama mgeni wake binafsi ama kwa niaba ya Samia?!! Kwa nini sio waziri wa utalii?!! Kwa nini kumeambatana na dege kubwa kabisa la mizigo maporini?!! Ndege za kimataifa tunatambua hutua airport ya KIA ama Arusha Airport, hili jidege ilikuaje likaenda direct maporini?!!
HAPO ANAWAPIMIA KWA MIGUU ENEO JINGINE WANALOTAKA. JAMAA NI DALALI WA KUUZA ARDHI YA WATANGANYIKA MAMBO YAKIWA HOVYO ANAKIMBILIA KWAO ANAA WAACHA AKINA MWAMSHAMBWA WANALAMBALAMBA TU MIGUU HUKU WAMEJICHOKEA
 
View attachment 2983088

Wengi wanafahamu sekeseke la Loliondo Ngorongoro huku likipamba kasi baada ya Wamasai wote kuambiwa waondoke kinguvu.

Clip ambatanishi hapo juu ni Makamu Mwenyekiti akiwa na ugeni mzito huko mbugani, swali je alikua akimpokea kama mgeni wake binafsi ama kwa niaba ya Samia?!! Kwa nini sio waziri wa utalii?!! Kwa nini kumeambatana na dege kubwa kabisa la mizigo maporini?!! Ndege za kimataifa tunatambua hutua airport ya KIA ama Arusha Airport, hili jidege ilikuaje likaenda direct maporini?!!
Mfalme alifuata kitowewo mbugani!!!!! Mwarabu na nyama kama ngozi na mwili, hapo lazima aondoke na mboga ya kutosha sana.
 
Back
Top Bottom