Huyu jamaa akipewa let's say nchi anaweza akauza mbuga moja kwa wamarekani. He is very dangerous person
ni ajabu kuona waziri anawajua majangili na bado hawachukulii hatua yoyote
Mtu anapokuwa mkali eti waziri wa maliasili mbaya~ yaani kajihalalishia kuwa tembo wakwake peke yake.... aende somalia
Mtanzania yeyote anayemtetea Nyalandu inabidi apimwe akili.
Mkuu kilaza
Mhe Nyalandu amethibitisha wapi kuwa Mhe Kinana kweli anajihusisha na ujangili? na kama amethibitisha na hachukuliwi hatua basi kuna tatizo kwake Waziri.
Acha unafiki Nyalandu unasubiri nini kuwapeleka mahakamani akina kinana kama umegundua kuwa ni wezi?kuongea bila vitendo haitusaidii yaani unatuboa wananchi.chukua hatua mnyampaa wa singida
ni ajabu zaidi rais wa nchi kuwajua majangili na kutowachulia hatua yoyote!
mada yako kama jina lako. ama kweli wewe ni kilaza kweli kweli.
Ni ukweli usiopingika kinana ni jangili mkubwa akwa ndiye kiongozi wa mtandao wa wasomali kazi zao ni kubeba meno ya tembo kwenye mafiat. Kinana ni jangili jamani pia ni mwizi kabisa.
Nyarandu ziba mianya yote yamajangili kuua wanyama akiwemo kinana na ndo maana anakuchukia.usiogope najua utasumbuliwa na hao majangili ila komaa na bahati nzuri meno ya tembo yamepigwa marufuku.
ukweli unauma, mmmmmmh...Hon Kinana njoo uku ukanushe. Vinginevyo tutaweka vema