22 August 2023
View: https://m.youtube.com/watch?v=jOoXIZ27tUA
Abdulrahman Kinana anasema toka mfumo wa vyama vingi idadi ya wabunge na wawakilishi imekuwa ikipanda na hata uchaguzi wa 2020 idadi ingekuwa kubwa zaidi ya namba za wabunge kutoka vyama vya upinzani ila changamoto mbalimbali ikiwemo sheria.
Abdulrahman Kinana anaongeza kuwa kabla ya uchaguzi wa 2020 tayari upinzani walikuwa na viti jumla ya asilimia 40 na kama sheria zingekuwa nzuri basi 2020 na 2024 2025 idadi hiyo ya wabunge wa upinzani ingezidi hiyo 40%.
Awamu ya sita imekuja kurekebisha hayo mapungufu anaendelea kufafanua kigogo huyo wa chama tawala dola kongwe cha CCM ndugu Abdulrahman Kinana, na tayari miswada ya kisheria inaandaliwa.
View: https://m.youtube.com/watch?v=jOoXIZ27tUA
Abdulrahman Kinana anasema toka mfumo wa vyama vingi idadi ya wabunge na wawakilishi imekuwa ikipanda na hata uchaguzi wa 2020 idadi ingekuwa kubwa zaidi ya namba za wabunge kutoka vyama vya upinzani ila changamoto mbalimbali ikiwemo sheria.
Abdulrahman Kinana anaongeza kuwa kabla ya uchaguzi wa 2020 tayari upinzani walikuwa na viti jumla ya asilimia 40 na kama sheria zingekuwa nzuri basi 2020 na 2024 2025 idadi hiyo ya wabunge wa upinzani ingezidi hiyo 40%.
Awamu ya sita imekuja kurekebisha hayo mapungufu anaendelea kufafanua kigogo huyo wa chama tawala dola kongwe cha CCM ndugu Abdulrahman Kinana, na tayari miswada ya kisheria inaandaliwa.