M CM
JF-Expert Member
- Nov 25, 2012
- 2,493
- 1,472
Jamani hata mimi nahitaji mwanamke wa kuoa niliyokuwa naye alikuwa matumizi ya hapa na pale kama burudani.
Nipo serious na hii ishu ya kuoa maana nimechoka kuibaiba visivyo halali.
SIFA ZA MWANAMKE:1.Awe mkaaji wa kanda ya kaskazini, Ar,Kl na MRN
2.Awe mwalimu mwenye cerfificate au dip
3.Awe mkristo wa dini yoyote
4.awe na mvuto na umri usizidi miaka 27
NB: Hata kama hujaariwa ili mradi una hiyo profesional ya ualimu unakubalika sana .
Atakayeridhika na maombi yangu an PM tutawasiliana kwa mipango na maandilizi mengine.
Nipo serious na hii ishu ya kuoa maana nimechoka kuibaiba visivyo halali.
SIFA ZA MWANAMKE:1.Awe mkaaji wa kanda ya kaskazini, Ar,Kl na MRN
2.Awe mwalimu mwenye cerfificate au dip
3.Awe mkristo wa dini yoyote
4.awe na mvuto na umri usizidi miaka 27
NB: Hata kama hujaariwa ili mradi una hiyo profesional ya ualimu unakubalika sana .
Atakayeridhika na maombi yangu an PM tutawasiliana kwa mipango na maandilizi mengine.