Makusanyo ya Mapato Kanda ya Kaskazini Bilioni 1600 versus Bilioni 648 kanda ya Ziwa: Bado mnadai mna nguvu? Nguvu ni uchumi siyo idadi ya watu

saigilomagema

JF-Expert Member
Jun 5, 2015
4,173
6,156
Taarifa iliyotolewa na BOT mwishoni mwa mwaka jana inaonesha kanda ya kaskazini yenye mikoa 4 ndio ya pili kwa makusanyo ya mapato nchini baada ya Dar.

Mapato ya Dsm hayashangazi kwasababu kadhaa, kwanza uwingi wa watu, Dsm ndio TZ utamkuta hata mhadzabe. Ila kanda ya wenye sifa yenye mikoa mingi na watu wengi ina uchumi mdogo sana ikizidiwa na kanda ya kaskazini mara 3.

Kanda ya ziwa ina mikoa ya Mara, Simiyu, Shinyanga, Geita, kagera na Mwanza wao wanaita makao makuu yao. Hii kanda wameizungukq ziwa Victoria ambayo ni ya pili kwa ukubwa duniani lakini watu wake hawana ubunifu, wako hovyo kiuchumi. Uwingi wa makamasi siyo ukubwa wa pua.

Nilishasemaga mara nyingi uwekezaji mkubwa Mwanza ni hasara, ni ujinga aliouanzisha Magu. SGR Mwanza ni hasara itarudi na mzigo gani. Serikali ijenge uwanja wa ndege mkubwa Arusha hata siyo Msalato, Arusha Airpot kwa siku zinaruka ndege zaidi ya 150, wataalam wa uchumi wanajua uwekeze wapi upate return kwa muda mfupi.

Tutenganishe siasa na uchumi. SGR ingeenda Arusha badala ya Mwanza, ndio ukweli hata km inauma. Mh. Rais ile barabara ya njia 4 ifike angalau KIA. KIA ni taswira ya nchi yetu.
 
Ndio maana tunataka shughuli za utalii pia ziboreshwe kanda ya ziwa, haiwezelani mbuga ya serengeti asilimia kubwa iwe kanda ya ziwa, halafu ofisi zote za mamlaka ya utalii ziwe Arusha.

Tutajenga lami kuifikia mbuga ya serengeti kwa urahisi kutokea mwanza na mara, na pia uwanja wa ndege wa mwanza na musoma unaboreshwa.

Ziwa victoria lina visiwa tele, tunataka kutenga visiwa maalum kadhaa ili vijengwe mahoteli ya kifahari ya nyota zote.
 
Taarifa iliyotolewa na BOT mwishoni mwa mwaka jana inaonesha kanda ya kaskazini yenye mikoa 4 ndio ya pili kwa makusanyo ya mapato nchini baada ya Dar.

dala ya Mwanza, ndio ukweli hata km inauma. Mh. Rais ile barabara ya njia 4 ifike angalau KIA. KIA ni taswira ya nchi yetu.
Tukubaliane kuto kubaliana
Sehemu yoyote Tanzania iwe kusini, kaskazini, Mashariki, au magharibi, wanao toka kaskazini ndio kichocheo cha maendeleo ya mahali husika.
 
Taarifa iliyotolewa na BOT mwishoni mwa mwaka jana inaonesha kanda ya kaskazini yenye mikoa 4 ndio ya pili kwa makusanyo ya mapato nchini baada ya Dar.

Mapato ya Dsm hayashangazi kwasababu kadhaa, kwanza uwingi wa watu, Dsm ndio TZ utamkuta hata mhadzabe. Ila kanda ya wenye sifa yenye mikoa mingi na watu wengi ina uchumi mdogo sana ikizidiwa na kanda ya kaskazini mara 3.

Kanda ya ziwa ina mikoa ya Mara, Simiyu, Shinyanga, Geita, kagera na Mwanza wao wanaita makao makuu yao. Hii kanda wameizungukq ziwa Victoria ambayo ni ya pili kwa ukubwa duniani lakini watu wake hawana ubunifu, wako hovyo kiuchumi. Uwingi wa makamasi siyo ukubwa wa pua.

Nilishasemaga mara nyingi uwekezaji mkubwa Mwanza ni hasara, ni ujinga aliouanzisha Magu. SGR Mwanza ni hasara itarudi na mzigo gani. Serikali ijenge uwanja wa ndege mkubwa Arusha hata siyo Msalato, Arusha Airpot kwa siku zinaruka ndege zaidi ya 150, wataalam wa uchumi wanajua uwekeze wapi upate return kwa muda mfupi.

Tutenganishe siasa na uchumi. SGR ingeenda Arusha badala ya Mwanza, ndio ukweli hata km inauma. Mh. Rais ile barabara ya njia 4 ifike angalau KIA. KIA ni taswira ya nchi yetu.
Stand tu ime washinda
 
Taarifa iliyotolewa na BOT mwishoni mwa mwaka jana inaonesha kanda ya kaskazini yenye mikoa 4 ndio ya pili kwa makusanyo ya mapato nchini baada ya Dar.

adala ya Mwanza, ndio ukweli hata km inauma. Mh. Rais ile barabara ya njia 4 ifike angalau KIA. KIA ni taswira ya nchi yetu.
Aisee mkuu hauna akili! Hivi hujui mpango wa Jiwe kuweka SGR Mwanza ni kuvuta mizigo ya Uganda? Kwa taarifa yako ikikamilika tu Uganda hawatapitisha tena mizigo yao Mombasa. Pia itakuwa rahisi kwa South Sudan kupitishia mizigo kwenye SGR! Eti itarudi na mizigo gani kutoka Mwanza?
 
Taarifa iliyotolewa na BOT mwishoni mwa mwaka jana inaonesha kanda ya kaskazini yenye mikoa 4 ndio ya pili kwa makusanyo ya mapato nchini baada ya Dar.
Ukitaka kupandisha (stumilale)uchumi wa mahali unawapa infra structure za kutosha ikiwemo usafirishaji wa uhakika.

Kwa hyo kwa kuwa mikoa ulotaja ina vyanzo vingi vya kiuchumi basi SGR ni sahihi kabisa.
Mikoa ya ziwa iko mbali na bandari hivyo kuwa ngumu kusafirisha bidhaa zao.
Kwa uchache tu ndugu yangu
 
Taarifa iliyotolewa na BOT mwishoni mwa mwaka jana inaonesha kanda ya kaskazini yenye mikoa 4 ndio ya pili kwa makusanyo ya mapato nchini baada ya Dar.

Mapato ya Dsm hayashangazi kwasababu kadhaa, kwanza uwingi wa watu, Dsm ndio TZ utamkuta hata mhadzabe. Ila kanda ya wenye sifa yenye mikoa mingi na watu wengi ina uchumi mdogo sana ikizidiwa na kanda ya kaskazini mara 3.

Kanda ya ziwa ina mikoa ya Mara, Simiyu, Shinyanga, Geita, kagera na Mwanza wao wanaita makao makuu yao. Hii kanda wameizungukq ziwa Victoria ambayo ni ya pili kwa ukubwa duniani lakini watu wake hawana ubunifu, wako hovyo kiuchumi. Uwingi wa makamasi siyo ukubwa wa pua.

Nilishasemaga mara nyingi uwekezaji mkubwa Mwanza ni hasara, ni ujinga aliouanzisha Magu. SGR Mwanza ni hasara itarudi na mzigo gani. Serikali ijenge uwanja wa ndege mkubwa Arusha hata siyo Msalato, Arusha Airpot kwa siku zinaruka ndege zaidi ya 150, wataalam wa uchumi wanajua uwekeze wapi upate return kwa muda mfupi.

Tutenganishe siasa na uchumi. SGR ingeenda Arusha badala ya Mwanza, ndio ukweli hata km inauma. Mh. Rais ile barabara ya njia 4 ifike angalau KIA. KIA ni taswira ya nchi yetu.
Upumbavu ni KIPAJI
 
We hamna kitu , wanaoleta mapato huko ni watalii , lakini wananchi kama wananchi ni zero

Sent from my TECNO CI6 using JamiiForums mobile app
Si kweli, Tanga ina viwanda vingi mno na Kampuni kama Tanga Cement kawaida kukuta yanachangia mabilioni Pato la Taifa, Bandari, Mashamba ya mikonge Tanga na Kilimanjaro yapo kibao, Kuna mazao kama Chai na kahawa Kilimanjaro, viwanda vya Soda, Ndizi, maparachichi, Matunda Lushoto,

Kifupi mkuu Watu wa Kaskazini Wana Exposure, sio washamba, walishaendelea siku nyingi tu, isingekua kubanwa wangekua mbali tu.
 
Aisee mkuu hauna akili! Hivi hujui mpango wa Jiwe kuweka SGR Mwanza ni kuvuta mizigo ya Uganda? Kwa taarifa yako ikikamilika tu Uganda hawatapitisha tena mizigo yao Mombasa. Pia itakuwa rahisi kwa South Sudan kupitishia mizigo kwenye SGR! Eti itarudi na mizigo gani kutoka Mwanza?

..sio rahisi kama tunavyozungumza.

..Uganda wamekubaliana na Waturuki wa Yapi Merkez kujenga Sgr kuwaunganisha na Kenya.

..Pia kuna barabara ambayo ikijengwa hapa Tanzania, ikaweza kupitisha magari makubwa, advantage ya umbali kwa bandari ya Dsm dhidi ya Mombasa kwa mizigo ya Rwanda na Burundi itaondoka.

..Kwa kifupi Tanzania tunatakiwa kusimama kidete kwelikweli. Tusibweteke kufikiri majirani watatuache tuwazidi without putting up a serious fight.

Cc Geza Ulole, Nguruvi3
 
Taarifa iliyotolewa na BOT mwishoni mwa mwaka jana inaonesha kanda ya kaskazini yenye mikoa 4 ndio ya pili kwa makusanyo ya mapato nchini baada ya Dar.

Mapato ya Dsm hayashangazi kwasababu kadhaa, kwanza uwingi wa watu, Dsm ndio TZ utamkuta hata mhadzabe. Ila kanda ya wenye sifa yenye mikoa mingi na watu wengi ina uchumi mdogo sana ikizidiwa na kanda ya kaskazini mara 3.

Kanda ya ziwa ina mikoa ya Mara, Simiyu, Shinyanga, Geita, kagera na Mwanza wao wanaita makao makuu yao. Hii kanda wameizungukq ziwa Victoria ambayo ni ya pili kwa ukubwa duniani lakini watu wake hawana ubunifu, wako hovyo kiuchumi. Uwingi wa makamasi siyo ukubwa wa pua.

Nilishasemaga mara nyingi uwekezaji mkubwa Mwanza ni hasara, ni ujinga aliouanzisha Magu. SGR Mwanza ni hasara itarudi na mzigo gani. Serikali ijenge uwanja wa ndege mkubwa Arusha hata siyo Msalato, Arusha Airpot kwa siku zinaruka ndege zaidi ya 150, wataalam wa uchumi wanajua uwekeze wapi upate return kwa muda mfupi.

Tutenganishe siasa na uchumi. SGR ingeenda Arusha badala ya Mwanza, ndio ukweli hata km inauma. Mh. Rais ile barabara ya njia 4 ifike angalau KIA. KIA ni taswira ya nchi yetu.
Kwa maana hiyo watu wa kanda zingine tofauti na kaskazini hawastahili maendeleo nchi hii? Yaani umejawa na ubaguzi hadi kwenye kope za macho.
 
Back
Top Bottom