akashube
JF-Expert Member
- Dec 24, 2009
- 401
- 23
Huyu jamaa ni mlipa visasi namba moja nchi hii, na pia ni mlipa fadhila mkubwa.
1. P. Mang'ula aliyekuwa mkti wa kampeni za CCM 2005 alionyesha kutomkubali matokeo yake kila alikojaribu kugombea kwenye chama kapigwa chini. Mkono wa JK haukumwacha Ikiwemo kwenye kugombea uenyekiti wa CCM mkoa wa Iringa. Leo hii kakaa benchi mpaka amegeuka benchi yeye mwenyewe.
2. S. A. Salim alipoamua kugombea urais 2005, JK alimuona kama msaliti na kumzushia kuwa ni mwarabu wa Oman hivyo hastahili kuwa Rais. Hili limerudiwa kwa Bashe ambaye hata ugomvi wake haukuwa na JK bali na kundi la RK. Lakini JK mwenyewe akarudia yale ya Salim, kwamba Bashe, kada wa CCM ati ni msomali......
3. Prof. F. Sarungi katika moja ya mikutano ya mwisho ya bunge 2005 aliombwa na JK wakiwa bungeni, wote wakiwa mawaziri ili amsaidie kwa kuwa JK alikuwa na nia ya kugombea. Prof alikataa ombi hilo kwa dharau kubwa, matokeo yake tunayaona leo Sarungi kafifishwa kabisa.
4. E.N Lowasa, B.P Mramba, A. Mgonja, A. Chenge, J. Mungai na wengineo walionyesha kuanza kuleta fukuto za chini chini za kuhoji utendaji kazi wa JK, kilichotokea ni kwamba katika jambo lililohusu serikali nzima ya JK wametolewa kafara wao. Swahiba wake Z. Meghji ambaye ni muhusika mkuu, tena siku zote ndiye mweka hazina wa pesa za wizi zinazotumika kumuweka JK ikulu ikiwemo zile za EPA, yeye hakuguswa. Na Rostam je? Na Kagoda je? wakiguswa nchi itapasuka????? Na hapa Watanzania wamepigwa changa la macho......
5. H. Mwinyi na uwaziri wa ulinzi ni matokeo ya kulipa fadhila kwa Mzee A. H. Mwinyi.
Mengineyo utajaza mwenyewe kama:
i) V. Kamata na kanafasi ka BOT, na ubunge viti maalum, na kusomeshwa nje, fadhila kwa kazi gani?
ii) Mrema alivyolamba miguu ya JK na kusaidiwa matibabu, kisha karudi, sifa zote kwa JK, JK tayari katoa ridhaa yake kuwa CCM wamsaidie Vunjo apate ubunge.
iii) N. Nnauye mambo vipi? hapa siongezi neno....maana ya juzi haya unayakumbuka???
iv) L. Masha muajiri wa RK naye ni muajiriwa wa baba yake RK au ikoje?.....
v) Unadhani wabunge waliotetea sana kiswahili bungeni walifanya hivyo kwa uzalendo??? no..no...no... usidanganyike kirahisi, hapo watu walikuwa wanamkingia kifua mama.....mama....mama jamani hamuelewi....mama SK ebo? fadhila zinatafutwa.
Shibuda shibuda, naona kalamu inagoma goma
USIONE WATU WANAUNGA UNGA MKONO CCM NA JK HUMU NA KWINGINEKO. MOYONI HAWAMTAKI LAKINI WANAHOFU KUBWA JUU YA KITAKACHOJIRI AKICHUKUA NCHI.
NCHI HAITAWEZA KUENDELEA BILA WATU KUACHA UNAFIKI NA WOGA HUU WA KIPUUZI!!!!
JK wapi Babu Seya!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
1. P. Mang'ula aliyekuwa mkti wa kampeni za CCM 2005 alionyesha kutomkubali matokeo yake kila alikojaribu kugombea kwenye chama kapigwa chini. Mkono wa JK haukumwacha Ikiwemo kwenye kugombea uenyekiti wa CCM mkoa wa Iringa. Leo hii kakaa benchi mpaka amegeuka benchi yeye mwenyewe.
2. S. A. Salim alipoamua kugombea urais 2005, JK alimuona kama msaliti na kumzushia kuwa ni mwarabu wa Oman hivyo hastahili kuwa Rais. Hili limerudiwa kwa Bashe ambaye hata ugomvi wake haukuwa na JK bali na kundi la RK. Lakini JK mwenyewe akarudia yale ya Salim, kwamba Bashe, kada wa CCM ati ni msomali......
3. Prof. F. Sarungi katika moja ya mikutano ya mwisho ya bunge 2005 aliombwa na JK wakiwa bungeni, wote wakiwa mawaziri ili amsaidie kwa kuwa JK alikuwa na nia ya kugombea. Prof alikataa ombi hilo kwa dharau kubwa, matokeo yake tunayaona leo Sarungi kafifishwa kabisa.
4. E.N Lowasa, B.P Mramba, A. Mgonja, A. Chenge, J. Mungai na wengineo walionyesha kuanza kuleta fukuto za chini chini za kuhoji utendaji kazi wa JK, kilichotokea ni kwamba katika jambo lililohusu serikali nzima ya JK wametolewa kafara wao. Swahiba wake Z. Meghji ambaye ni muhusika mkuu, tena siku zote ndiye mweka hazina wa pesa za wizi zinazotumika kumuweka JK ikulu ikiwemo zile za EPA, yeye hakuguswa. Na Rostam je? Na Kagoda je? wakiguswa nchi itapasuka????? Na hapa Watanzania wamepigwa changa la macho......
5. H. Mwinyi na uwaziri wa ulinzi ni matokeo ya kulipa fadhila kwa Mzee A. H. Mwinyi.
Mengineyo utajaza mwenyewe kama:
i) V. Kamata na kanafasi ka BOT, na ubunge viti maalum, na kusomeshwa nje, fadhila kwa kazi gani?
ii) Mrema alivyolamba miguu ya JK na kusaidiwa matibabu, kisha karudi, sifa zote kwa JK, JK tayari katoa ridhaa yake kuwa CCM wamsaidie Vunjo apate ubunge.
iii) N. Nnauye mambo vipi? hapa siongezi neno....maana ya juzi haya unayakumbuka???
iv) L. Masha muajiri wa RK naye ni muajiriwa wa baba yake RK au ikoje?.....
v) Unadhani wabunge waliotetea sana kiswahili bungeni walifanya hivyo kwa uzalendo??? no..no...no... usidanganyike kirahisi, hapo watu walikuwa wanamkingia kifua mama.....mama....mama jamani hamuelewi....mama SK ebo? fadhila zinatafutwa.
Shibuda shibuda, naona kalamu inagoma goma
USIONE WATU WANAUNGA UNGA MKONO CCM NA JK HUMU NA KWINGINEKO. MOYONI HAWAMTAKI LAKINI WANAHOFU KUBWA JUU YA KITAKACHOJIRI AKICHUKUA NCHI.
NCHI HAITAWEZA KUENDELEA BILA WATU KUACHA UNAFIKI NA WOGA HUU WA KIPUUZI!!!!
JK wapi Babu Seya!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!