Ndo nnaposhindwa kuelewa huyu jamaa anatumia nini kufikiri...au masaburi.Lowassa wa nini sasa?
Zitto alifukuzwa na chadema kwa usaliti,unafki,Kafulila alikuwa chadema alikuwa hivo hivo akajishtukia akakimbia nccr,alifukuzwa nccr kama siyo huruma za mwenyekiti asingekuwa mbunge maana ubunge wake ulikuwa wa mahakama mpaka aliposamehewa na nccr,machali ndo hivo kila siku anasingiziwa anaenda ACT,inshort ndo hivoMimi sielewi hebu tueleze japo kidogo kwa mifano
Zitto alifukuzwa na chadema kwa usaliti,unafki,Kafulila alikuwa chadema alikuwa hivo hivo akajishtukia akakimbia nccr,alifukuzwa nccr kama siyo huruma za mwenyekiti asingekuwa mbunge maana ubunge wake ulikuwa wa mahakama mpaka aliposamehewa na nccr,machali ndo hivo kila siku anasingiziwa anaenda ACT,inshort ndo hivo
Ukawa hawna mgombea to be honest...hawawezi wakawa wanahangaika muda wote huu kwa vitu vyepesi kama hivi....
jamani vipiiii!!!! mkuu molemo, yericko vipiii! au wameenda kufturu ..... leteni updates
Any updates??
station gani itarusha?
nani asiyejua watu wa kigoma ni wanafki,wasaliti,wivu,wapenda sifa,mpaka viongozi wao
The future and prosperity of this country belongs to you UKAWA.
ACHA USHAMBENGA, KWANI HALMASHAURI KUU YA CCM ILIRUSHWA NA TV PIA RADIO GANI WEWE