Tabutupu
JF-Expert Member
- Nov 26, 2010
- 13,111
- 18,327
Kwanza naomba kusema wazi naunga mkono wazo la upanuzi wa barabara ya Kimara Kibaha.
Pili nailaumu sana tena sana Tanroad na wizara ya ujenzi kwa kuchezea kodi za wananchi kwani kila baada ya miaka 10 miundombinu hufumuliwa na kujengwa upya.
Kinachojengwa pale Mbezi Mwisho hakitaishi zaidi ya miaka 10 kila kitu kitabomolewa na kujengwa upya.
Mbezi Mwisho ni makutano ya pande mbili za Dar es Salaam
Mbezi mwisho ni mji unaokua kwa kasi kuliko mji wowote hapa Dar.
Mbezi mwisho ni lango la kuingia na kutoka Dar.
Kwanini Tanroad hamtaki kufikiria design nzuri walau kwa miaka 50.
Hamjifunzi mkoloni alivyoweka mita 240 upana wa barabara toka Kimara hadi Kibaha.
Hivyo viraundi abauti mnavyovijemga hapo Mbezi ni kupoteza kodi za wananchi.
TANROAD INAHITAJI NEW BRAIN
Uzi huu tutakuja kuukumbuka siku wakianza kubomoa wanachokijenga
Pili nailaumu sana tena sana Tanroad na wizara ya ujenzi kwa kuchezea kodi za wananchi kwani kila baada ya miaka 10 miundombinu hufumuliwa na kujengwa upya.
Kinachojengwa pale Mbezi Mwisho hakitaishi zaidi ya miaka 10 kila kitu kitabomolewa na kujengwa upya.
Mbezi Mwisho ni makutano ya pande mbili za Dar es Salaam
Mbezi mwisho ni mji unaokua kwa kasi kuliko mji wowote hapa Dar.
Mbezi mwisho ni lango la kuingia na kutoka Dar.
Kwanini Tanroad hamtaki kufikiria design nzuri walau kwa miaka 50.
Hamjifunzi mkoloni alivyoweka mita 240 upana wa barabara toka Kimara hadi Kibaha.
Hivyo viraundi abauti mnavyovijemga hapo Mbezi ni kupoteza kodi za wananchi.
TANROAD INAHITAJI NEW BRAIN
Uzi huu tutakuja kuukumbuka siku wakianza kubomoa wanachokijenga