Kinachoiponza Tanzania kwenye michezo ni "DUA TU"

Tomaa Mireni

JF-Expert Member
Sep 8, 2015
2,358
2,312
Narudia tena, Tanzania kwenda kombe la dunia labda kwa viti maalumu lakini sio kupambana ili kupata nafasi.

Inashangaza sana kuona kila mtu anategemea dua na kudra za mwenyezi Mungu!!!. Hivi huyu Mungu atasaidia timu gani? Au huyu Mungu yeye ni timu gani? Wazungu wangekuwa na akili kama hizi wangefika hapo walipo kweli?.

Mungu hawezi kusaidia watu wazembe hata siku moja,ww acha kutumia bidii na maarifa utegemee dua uone kama itakusaidia.

Beki wa Simba J. Onyango hutomsikia akitaja taja jina la Mungu kwa mambo ya hovyo.

Mungu ana vipaumbele vyake na sio mambo ya michezo michezo.
 
Mungu alishakupa akili na nguvu vinavyobaki ni vyako yeye hahusiki tena, kwani nchi zingine zote hizo wenyewe hawamjui Mungu.

Watu wavivu na wazembe ndio wanakaa kutaja taja jina la Mungu hovyo hovyo kama vile Mungu atawafanyia wao wamekaa tu. Huwezi kusikia wazungu wakitaja taja jina la Mungu na wao ndio wameendelea.
 
Mungu alishakupa akili na nguvu vinavyobaki ni vyako yeye hahusiki tena, kwani nchi zingine zote hizo wenyewe hawamjui Mungu.

Watu wavivu na wazembe ndio wanakaa kutaja taja jina la Mungu hovyo hovyo kama vile Mungu atawafanyia wao wamekaa tu. Huwezi kusikia wazungu wakitaja taja jina la Mungu na wao ndio wameendelea.
Asante sana hivi kama wazungu wangekuwa na akili za kutegemea "kudra" wangefika hapo walipo Kweli?
 
Narudia tena, Tanzania kwenda kombe la dunia labda kwa viti maalumu lakini sio kupambana ili kupata nafasi.

Inashangaza sana kuona kila mtu anategemea dua na kudra za mwenyezi Mungu!!!. Hivi huyu Mungu atasaidia timu gani? Au huyu Mungu yeye ni timu gani? Wazungu wangekuwa na akili kama hizi wangefika hapo walipo kweli?.

Mungu hawezi kusaidia watu wazembe hata siku moja,ww acha kutumia bidii na maarifa utegemee dua uone kama itakusaidia.

Beki wa Simba J. Onyango hutomsikia akitaja taja jina la Mungu kwa mambo ya hovyo.

Mungu ana vipaumbele vyake na sio mambo ya michezo michezo.
Baadala ya kuzingatia mazoezi , wamekazania DUA.Ama kweli aliyetuloga kafa.
 
Back
Top Bottom