Pongezi kwa Mwandishi na Mtangazaji chipukizi wa Habari za Michezo Yahya Abushehe

Nov 23, 2018
49
87
Leo kipekee nampa maua yake mapema sana mtajwa hapo juu, kwa bidii na weledi anaouonesha kwenye kazi zake. Vijana wanaojituma kukuza taaluma zao wanahitaji kupongezwa na kuombewa dua ili wakue zaidi.

Muhitimu wa mwaka 2023 wa Shahada ya Sanaa katika Mawasiliano ya Umma (Bachelor of Arts in Mass Communication) kutoka Muslim University of Morogoro, ameonesha umahiri mkubwa kuwazidi wakongwe wengi wa tasnia ya Habari wa Habari za michezo (Sports Journalism).

Wakati wahitimu wa elimu ya juu nchini wakisubiri ajira, wapo vijana ambao hawahitaji kutembea na bahasha za kaki kwakuwa wana potentials tayari. Miongoni mwa vijana hao ni Yahya Abushehe.

Nimekuwa nikimfuatilia kwa miaka mitatu na sasa nimejiridhisha kuwa kijana ni mahiri sana kwenye Sports Journalism Kwa kuwa na sifa zifuatazo:

1.๐—จ๐˜„๐—ฒ๐˜‡๐—ผ ๐˜„๐—ฎ ๐—ธ๐˜‚๐—ฐ๐—ต๐—ฒ๐˜‡๐—ฎ ๐—ป๐—ฎ ๐—บ๐—ฎ๐—ป๐—ฒ๐—ป๐—ผ (A way with words). Katika hili kijana anachukua 10/10. Kazi nyingi alizofanya tangu akiwa chuo, kuanzia documentaries, sports interviews n.k zinathibitisha kuwa kijana ana uwezo wa ku-deliver error-free and grammatical correct information. Hakika kazi za Abushehe ni enthralling news piece na sio average news story.

2. ๐—จ๐˜„๐—ฒ๐˜‡๐—ผ ๐—บ๐—ธ๐˜‚๐—ฏ๐˜„๐—ฎ ๐˜„๐—ฎ ๐—ธ๐˜‚๐—ณ๐˜‚๐—ฎ๐˜๐—ถ๐—น๐—ถ๐—ฎ ๐˜๐—ฎ๐—ฎ๐—ฟ๐—ถ๐—ณ๐—ฎ ๐˜‡๐—ฎ ๐—บ๐—ถ๐—ฐ๐—ต๐—ฒ๐˜‡๐—ผ ๐—ธ๐—ถ๐˜๐—ฎ๐—ถ๐—ณ๐—ฎ ๐—ป๐—ฎ ๐—ธ๐—ถ๐—บ๐—ฎ๐˜๐—ฎ๐—ถ๐—ณ๐—ฎ:
Ukimsikiliza wakati anachambua taarifa za vilabu na wachezaji mbalimbali wa kimataifa utajua kuwa huyu ni sports journalist na nusu. Kuhusu taarifa za wachezaji wa ndani ndio usiseme,maana ameshawafanyia interview wachezaji wakubwa wa vilabu tajika pamoja na makocha mashuhuri km huyo anayeonekana kwenye picha.

3.๐— ๐—ฏ๐—ถ๐—ป๐˜‚ ๐˜‡๐—ฎ ๐—บ๐—ฎ๐˜„๐—ฎ๐˜€๐—ถ๐—น๐—ถ๐—ฎ๐—ป๐—ผ:
Kitu kingine kinachombeba ni kuwa ana uwezo mzuri wa kupanga virai na vishazi katika kazi zake. Aidha anauwezo wa kuzungumza Kiswahili fasaha na pia Kingereza hakimpigi chenga.

4.๐—ช๐—ฒ๐—น๐—ฒ๐—ฑ๐—ถ ๐—ป๐—ฎ ๐—ž๐˜‚๐—ท๐—ถ๐—ฎ๐—บ๐—ถ๐—ป๐—ถ
Miongoni mwa maana ya weledi katika taaluma ya Habari ni kufanya mambo kwa wakati. Kwenye hili nampongeza kijana huwa yupo eneo la tukio kabla ya muda wa kazi. Aidha kijana ni multi-talented kwakuwa anaweledi wa kutumia kamera, kuandika, kuchapa na kuhariri. Japo ni fresher kwenye tasnia ya habari na yupo kwenye internship phase, Abushehe anajiamini kiasi kwa asiyemjua anaweza kumdhania kuwa ni mtangazaji nguli wa miaka mingi.

5. ๐— ๐—ฎ๐—ฎ๐—ฑ๐—ถ๐—น๐—ถ
Mwana taaluma yeyote lazima azingatie maadili ya kazi yake. Baadhi ya wanahabari huvunja miiko ya kazi yao kwa ajili ya pesa na kutafuta umaarufu. Tangu namfahamu Abushehe , ni mtu wa maadili. Mara ya kwanza namfuatilia alikuwa akiandaa vipindi vya uchambuzi kuelekea mechi za watani wa jadi, Simba na Yanga. Kitu ambacho sijawahi kujua hadi sasa ni yeye kuwa shabiki wa Timu gani kati ya timu hizi za Kariakoo. Uchambuzi wake huwa ni very objective.

๐—ก๐—ฎ๐—บ๐˜๐—ฎ๐—ธ๐—ถ๐—ฎ ๐—บ๐—ฎ๐—ณ๐—ฎ๐—ป๐—ถ๐—ธ๐—ถ๐—ผ ๐—ธ๐—ฎ๐˜๐—ถ๐—ธ๐—ฎ ๐—ธ๐—ฎ๐˜‡๐—ถ ๐˜‡๐—ฎ๐—ธ๐—ฒ.

I'm proud of him for walking this road, for doing what's right for him.
๐—š๐—ข๐—ข๐—— ๐—Ÿ๐—จ๐—–๐—ž
FB_IMG_1695307279960.jpg
FB_IMG_1695211706682.jpg
FB_IMG_1695211702780.jpg
 
Hongera sana Mkuu.

Natamani kuona Member kama NYIE hapa Jukwaani.

Isivyo Bahati Jukwaa Zima WENYE akili ni wawili tu wengine wote Mizigo.

Karibu sana JF.
UCHAMBUZI wako ni WA Hali ya Juu sana
 
Leo kipekee nampa maua yake mapema sana mtajwa hapo juu, kwa bidii na weledi anaouonesha kwenye kazi zake. Vijana wanaojituma kukuza taaluma zao wanahitaji kupongezwa na kuombewa dua ili wakue zaidi.

Muhitimu wa mwaka 2023 wa Shahada ya Sanaa katika Mawasiliano ya Umma (Bachelor of Arts in Mass Communication) kutoka Muslim University of Morogoro, ameonesha umahiri mkubwa kuwazidi wakongwe wengi wa tasnia ya Habari wa Habari za michezo (Sports Journalism).

Wakati wahitimu wa elimu ya juu nchini wakisubiri ajira, wapo vijana ambao hawahitaji kutembea na bahasha za kaki kwakuwa wana potentials tayari. Miongoni mwa vijana hao ni Yahya Abushehe.

Nimekuwa nikimfuatilia kwa miaka mitatu na sasa nimejiridhisha kuwa kijana ni mahiri sana kwenye Sports Journalism Kwa kuwa na sifa zifuatazo:

1.๐—จ๐˜„๐—ฒ๐˜‡๐—ผ ๐˜„๐—ฎ ๐—ธ๐˜‚๐—ฐ๐—ต๐—ฒ๐˜‡๐—ฎ ๐—ป๐—ฎ ๐—บ๐—ฎ๐—ป๐—ฒ๐—ป๐—ผ (A way with words). Katika hili kijana anachukua 10/10. Kazi nyingi alizofanya tangu akiwa chuo, kuanzia documentaries, sports interviews n.k zinathibitisha kuwa kijana ana uwezo wa ku-deliver error-free and grammatical correct information. Hakika kazi za Abushehe ni enthralling news piece na sio average news story.

2. ๐—จ๐˜„๐—ฒ๐˜‡๐—ผ ๐—บ๐—ธ๐˜‚๐—ฏ๐˜„๐—ฎ ๐˜„๐—ฎ ๐—ธ๐˜‚๐—ณ๐˜‚๐—ฎ๐˜๐—ถ๐—น๐—ถ๐—ฎ ๐˜๐—ฎ๐—ฎ๐—ฟ๐—ถ๐—ณ๐—ฎ ๐˜‡๐—ฎ ๐—บ๐—ถ๐—ฐ๐—ต๐—ฒ๐˜‡๐—ผ ๐—ธ๐—ถ๐˜๐—ฎ๐—ถ๐—ณ๐—ฎ ๐—ป๐—ฎ ๐—ธ๐—ถ๐—บ๐—ฎ๐˜๐—ฎ๐—ถ๐—ณ๐—ฎ:
Ukimsikiliza wakati anachambua taarifa za vilabu na wachezaji mbalimbali wa kimataifa utajua kuwa huyu ni sports journalist na nusu. Kuhusu taarifa za wachezaji wa ndani ndio usiseme,maana ameshawafanyia interview wachezaji wakubwa wa vilabu tajika pamoja na makocha mashuhuri km huyo anayeonekana kwenye picha.

3.๐— ๐—ฏ๐—ถ๐—ป๐˜‚ ๐˜‡๐—ฎ ๐—บ๐—ฎ๐˜„๐—ฎ๐˜€๐—ถ๐—น๐—ถ๐—ฎ๐—ป๐—ผ:
Kitu kingine kinachombeba ni kuwa ana uwezo mzuri wa kupanga virai na vishazi katika kazi zake. Aidha anauwezo wa kuzungumza Kiswahili fasaha na pia Kingereza hakimpigi chenga.

4.๐—ช๐—ฒ๐—น๐—ฒ๐—ฑ๐—ถ ๐—ป๐—ฎ ๐—ž๐˜‚๐—ท๐—ถ๐—ฎ๐—บ๐—ถ๐—ป๐—ถ
Miongoni mwa maana ya weledi katika taaluma ya Habari ni kufanya mambo kwa wakati. Kwenye hili nampongeza kijana huwa yupo eneo la tukio kabla ya muda wa kazi. Aidha kijana ni multi-talented kwakuwa anaweledi wa kutumia kamera, kuandika, kuchapa na kuhariri. Japo ni fresher kwenye tasnia ya habari na yupo kwenye internship phase, Abushehe anajiamini kiasi kwa asiyemjua anaweza kumdhania kuwa ni mtangazaji nguli wa miaka mingi.

5. ๐— ๐—ฎ๐—ฎ๐—ฑ๐—ถ๐—น๐—ถ
Mwana taaluma yeyote lazima azingatie maadili ya kazi yake. Baadhi ya wanahabari huvunja miiko ya kazi yao kwa ajili ya pesa na kutafuta umaarufu. Tangu namfahamu Abushehe , ni mtu wa maadili. Mara ya kwanza namfuatilia alikuwa akiandaa vipindi vya uchambuzi kuelekea mechi za watani wa jadi, Simba na Yanga. Kitu ambacho sijawahi kujua hadi sasa ni yeye kuwa shabiki wa Timu gani kati ya timu hizi za Kariakoo. Uchambuzi wake huwa ni very objective.

๐—ก๐—ฎ๐—บ๐˜๐—ฎ๐—ธ๐—ถ๐—ฎ ๐—บ๐—ฎ๐—ณ๐—ฎ๐—ป๐—ถ๐—ธ๐—ถ๐—ผ ๐—ธ๐—ฎ๐˜๐—ถ๐—ธ๐—ฎ ๐—ธ๐—ฎ๐˜‡๐—ถ ๐˜‡๐—ฎ๐—ธ๐—ฒ.

I'm proud of him for walking this road, for doing what's right for him.
๐—š๐—ข๐—ข๐—— ๐—Ÿ๐—จ๐—–๐—žView attachment 2757770View attachment 2757771View attachment 2757772
hiko Muslim University nacho ni Chuo Kikuu??hebu acha kuharibu maana ya neno University,hiko ni sawa na ki-Shule cha Kata tu,Mzazi mwenye Elimu na Akili kamili hawezi kumpeleka mwanae kusoma Muslim University!!!yaani uache Vyuo vyote vya maana ukasome Muslim University khaaaa
 
Kwa hali hii, na mimi ngoja nijianzishie uzi wa kujipongeza. Natambua pia kuna watu watanuna. Ila hakuna namna. Wanivumilie tu.
 
hiko Muslim University nacho ni Chuo Kikuu??hebu acha kuharibu maana ya neno University,hiko ni sawa na ki-Shule cha Kata tu,Mzazi mwenye Elimu na Akili kamili hawezi kumpeleka mwanae kusoma Muslim University!!!yaani uache Vyuo vyote vya maana ukasome Muslim University khaaaa
Oh! Did you escape from the zoo again?
 
hiko Muslim University nacho ni Chuo Kikuu??hebu acha kuharibu maana ya neno University,hiko ni sawa na ki-Shule cha Kata tu,Mzazi mwenye Elimu na Akili kamili hawezi kumpeleka mwanae kusoma Muslim University!!!yaani uache Vyuo vyote vya maana ukasome Muslim University khaaaa
Taja vtuo vya maana tz, au unamaanisha saut na iringa uni?
 
Leo kipekee nampa maua yake mapema sana mtajwa hapo juu, kwa bidii na weledi anaouonesha kwenye kazi zake. Vijana wanaojituma kukuza taaluma zao wanahitaji kupongezwa na kuombewa dua ili wakue zaidi.

Muhitimu wa mwaka 2023 wa Shahada ya Sanaa katika Mawasiliano ya Umma (Bachelor of Arts in Mass Communication) kutoka Muslim University of Morogoro, ameonesha umahiri mkubwa kuwazidi wakongwe wengi wa tasnia ya Habari wa Habari za michezo (Sports Journalism).

Wakati wahitimu wa elimu ya juu nchini wakisubiri ajira, wapo vijana ambao hawahitaji kutembea na bahasha za kaki kwakuwa wana potentials tayari. Miongoni mwa vijana hao ni Yahya Abushehe.

Nimekuwa nikimfuatilia kwa miaka mitatu na sasa nimejiridhisha kuwa kijana ni mahiri sana kwenye Sports Journalism Kwa kuwa na sifa zifuatazo:

1.๐—จ๐˜„๐—ฒ๐˜‡๐—ผ ๐˜„๐—ฎ ๐—ธ๐˜‚๐—ฐ๐—ต๐—ฒ๐˜‡๐—ฎ ๐—ป๐—ฎ ๐—บ๐—ฎ๐—ป๐—ฒ๐—ป๐—ผ (A way with words). Katika hili kijana anachukua 10/10. Kazi nyingi alizofanya tangu akiwa chuo, kuanzia documentaries, sports interviews n.k zinathibitisha kuwa kijana ana uwezo wa ku-deliver error-free and grammatical correct information. Hakika kazi za Abushehe ni enthralling news piece na sio average news story.

2. ๐—จ๐˜„๐—ฒ๐˜‡๐—ผ ๐—บ๐—ธ๐˜‚๐—ฏ๐˜„๐—ฎ ๐˜„๐—ฎ ๐—ธ๐˜‚๐—ณ๐˜‚๐—ฎ๐˜๐—ถ๐—น๐—ถ๐—ฎ ๐˜๐—ฎ๐—ฎ๐—ฟ๐—ถ๐—ณ๐—ฎ ๐˜‡๐—ฎ ๐—บ๐—ถ๐—ฐ๐—ต๐—ฒ๐˜‡๐—ผ ๐—ธ๐—ถ๐˜๐—ฎ๐—ถ๐—ณ๐—ฎ ๐—ป๐—ฎ ๐—ธ๐—ถ๐—บ๐—ฎ๐˜๐—ฎ๐—ถ๐—ณ๐—ฎ:
Ukimsikiliza wakati anachambua taarifa za vilabu na wachezaji mbalimbali wa kimataifa utajua kuwa huyu ni sports journalist na nusu. Kuhusu taarifa za wachezaji wa ndani ndio usiseme,maana ameshawafanyia interview wachezaji wakubwa wa vilabu tajika pamoja na makocha mashuhuri km huyo anayeonekana kwenye picha.

3.๐— ๐—ฏ๐—ถ๐—ป๐˜‚ ๐˜‡๐—ฎ ๐—บ๐—ฎ๐˜„๐—ฎ๐˜€๐—ถ๐—น๐—ถ๐—ฎ๐—ป๐—ผ:
Kitu kingine kinachombeba ni kuwa ana uwezo mzuri wa kupanga virai na vishazi katika kazi zake. Aidha anauwezo wa kuzungumza Kiswahili fasaha na pia Kingereza hakimpigi chenga.

4.๐—ช๐—ฒ๐—น๐—ฒ๐—ฑ๐—ถ ๐—ป๐—ฎ ๐—ž๐˜‚๐—ท๐—ถ๐—ฎ๐—บ๐—ถ๐—ป๐—ถ
Miongoni mwa maana ya weledi katika taaluma ya Habari ni kufanya mambo kwa wakati. Kwenye hili nampongeza kijana huwa yupo eneo la tukio kabla ya muda wa kazi. Aidha kijana ni multi-talented kwakuwa anaweledi wa kutumia kamera, kuandika, kuchapa na kuhariri. Japo ni fresher kwenye tasnia ya habari na yupo kwenye internship phase, Abushehe anajiamini kiasi kwa asiyemjua anaweza kumdhania kuwa ni mtangazaji nguli wa miaka mingi.

5. ๐— ๐—ฎ๐—ฎ๐—ฑ๐—ถ๐—น๐—ถ
Mwana taaluma yeyote lazima azingatie maadili ya kazi yake. Baadhi ya wanahabari huvunja miiko ya kazi yao kwa ajili ya pesa na kutafuta umaarufu. Tangu namfahamu Abushehe , ni mtu wa maadili. Mara ya kwanza namfuatilia alikuwa akiandaa vipindi vya uchambuzi kuelekea mechi za watani wa jadi, Simba na Yanga. Kitu ambacho sijawahi kujua hadi sasa ni yeye kuwa shabiki wa Timu gani kati ya timu hizi za Kariakoo. Uchambuzi wake huwa ni very objective.

๐—ก๐—ฎ๐—บ๐˜๐—ฎ๐—ธ๐—ถ๐—ฎ ๐—บ๐—ฎ๐—ณ๐—ฎ๐—ป๐—ถ๐—ธ๐—ถ๐—ผ ๐—ธ๐—ฎ๐˜๐—ถ๐—ธ๐—ฎ ๐—ธ๐—ฎ๐˜‡๐—ถ ๐˜‡๐—ฎ๐—ธ๐—ฒ.

I'm proud of him for walking this road, for doing what's right for him.
๐—š๐—ข๐—ข๐—— ๐—Ÿ๐—จ๐—–๐—žView attachment 2757770View attachment 2757771View attachment 2757772
Mtaalamu hivi kwa mwaka 2023 wanafunzi wameshaanza kugraduate au mimi sijaelewa? Navofahamu vyuo vingi huw wanafunzi wana graduate Mwezi Oktoba na November au unamaanisha amemaliza chuo sasa anasubiri graduation na kuvikwa joho?
 
Leo kipekee nampa maua yake mapema sana mtajwa hapo juu, kwa bidii na weledi anaouonesha kwenye kazi zake. Vijana wanaojituma kukuza taaluma zao wanahitaji kupongezwa na kuombewa dua ili wakue zaidi.

Muhitimu wa mwaka 2023 wa Shahada ya Sanaa katika Mawasiliano ya Umma (Bachelor of Arts in Mass Communication) kutoka Muslim University of Morogoro, ameonesha umahiri mkubwa kuwazidi wakongwe wengi wa tasnia ya Habari wa Habari za michezo (Sports Journalism).

Wakati wahitimu wa elimu ya juu nchini wakisubiri ajira, wapo vijana ambao hawahitaji kutembea na bahasha za kaki kwakuwa wana potentials tayari. Miongoni mwa vijana hao ni Yahya Abushehe.

Nimekuwa nikimfuatilia kwa miaka mitatu na sasa nimejiridhisha kuwa kijana ni mahiri sana kwenye Sports Journalism Kwa kuwa na sifa zifuatazo:

1.๐—จ๐˜„๐—ฒ๐˜‡๐—ผ ๐˜„๐—ฎ ๐—ธ๐˜‚๐—ฐ๐—ต๐—ฒ๐˜‡๐—ฎ ๐—ป๐—ฎ ๐—บ๐—ฎ๐—ป๐—ฒ๐—ป๐—ผ (A way with words). Katika hili kijana anachukua 10/10. Kazi nyingi alizofanya tangu akiwa chuo, kuanzia documentaries, sports interviews n.k zinathibitisha kuwa kijana ana uwezo wa ku-deliver error-free and grammatical correct information. Hakika kazi za Abushehe ni enthralling news piece na sio average news story.

2. ๐—จ๐˜„๐—ฒ๐˜‡๐—ผ ๐—บ๐—ธ๐˜‚๐—ฏ๐˜„๐—ฎ ๐˜„๐—ฎ ๐—ธ๐˜‚๐—ณ๐˜‚๐—ฎ๐˜๐—ถ๐—น๐—ถ๐—ฎ ๐˜๐—ฎ๐—ฎ๐—ฟ๐—ถ๐—ณ๐—ฎ ๐˜‡๐—ฎ ๐—บ๐—ถ๐—ฐ๐—ต๐—ฒ๐˜‡๐—ผ ๐—ธ๐—ถ๐˜๐—ฎ๐—ถ๐—ณ๐—ฎ ๐—ป๐—ฎ ๐—ธ๐—ถ๐—บ๐—ฎ๐˜๐—ฎ๐—ถ๐—ณ๐—ฎ:
Ukimsikiliza wakati anachambua taarifa za vilabu na wachezaji mbalimbali wa kimataifa utajua kuwa huyu ni sports journalist na nusu. Kuhusu taarifa za wachezaji wa ndani ndio usiseme,maana ameshawafanyia interview wachezaji wakubwa wa vilabu tajika pamoja na makocha mashuhuri km huyo anayeonekana kwenye picha.

3.๐— ๐—ฏ๐—ถ๐—ป๐˜‚ ๐˜‡๐—ฎ ๐—บ๐—ฎ๐˜„๐—ฎ๐˜€๐—ถ๐—น๐—ถ๐—ฎ๐—ป๐—ผ:
Kitu kingine kinachombeba ni kuwa ana uwezo mzuri wa kupanga virai na vishazi katika kazi zake. Aidha anauwezo wa kuzungumza Kiswahili fasaha na pia Kingereza hakimpigi chenga.

4.๐—ช๐—ฒ๐—น๐—ฒ๐—ฑ๐—ถ ๐—ป๐—ฎ ๐—ž๐˜‚๐—ท๐—ถ๐—ฎ๐—บ๐—ถ๐—ป๐—ถ
Miongoni mwa maana ya weledi katika taaluma ya Habari ni kufanya mambo kwa wakati. Kwenye hili nampongeza kijana huwa yupo eneo la tukio kabla ya muda wa kazi. Aidha kijana ni multi-talented kwakuwa anaweledi wa kutumia kamera, kuandika, kuchapa na kuhariri. Japo ni fresher kwenye tasnia ya habari na yupo kwenye internship phase, Abushehe anajiamini kiasi kwa asiyemjua anaweza kumdhania kuwa ni mtangazaji nguli wa miaka mingi.

5. ๐— ๐—ฎ๐—ฎ๐—ฑ๐—ถ๐—น๐—ถ
Mwana taaluma yeyote lazima azingatie maadili ya kazi yake. Baadhi ya wanahabari huvunja miiko ya kazi yao kwa ajili ya pesa na kutafuta umaarufu. Tangu namfahamu Abushehe , ni mtu wa maadili. Mara ya kwanza namfuatilia alikuwa akiandaa vipindi vya uchambuzi kuelekea mechi za watani wa jadi, Simba na Yanga. Kitu ambacho sijawahi kujua hadi sasa ni yeye kuwa shabiki wa Timu gani kati ya timu hizi za Kariakoo. Uchambuzi wake huwa ni very objective.

๐—ก๐—ฎ๐—บ๐˜๐—ฎ๐—ธ๐—ถ๐—ฎ ๐—บ๐—ฎ๐—ณ๐—ฎ๐—ป๐—ถ๐—ธ๐—ถ๐—ผ ๐—ธ๐—ฎ๐˜๐—ถ๐—ธ๐—ฎ ๐—ธ๐—ฎ๐˜‡๐—ถ ๐˜‡๐—ฎ๐—ธ๐—ฒ.

I'm proud of him for walking this road, for doing what's right for him.
๐—š๐—ข๐—ข๐—— ๐—Ÿ๐—จ๐—–๐—žView attachment 2757770View attachment 2757771View attachment 2757772
Hii ndiyo ID yako / yake? Kazi kweli kweli.
 
Mtaalamu hivi kwa mwaka 2023 wanafunzi wameshaanza kugraduate au mimi sijaelewa? Navofahamu vyuo vingi huw wanafunzi wana graduate Mwezi Oktoba na November au unamaanisha amemaliza chuo sasa anasubiri graduation na kuvikwa joho?
Point of correction: upo sahihi mkuu. Namaanisha amemaliza mwaka huu anasubiri kuvaa joho.
 
Mwanangu ni heri achunge Ng'ombe kuliko kumpeleka Muslim University kwa kweli!!!,hiko ni Chuo au UHARO??hebu acha kuharibu neno University KENGE wewe
Hayo ni mawazo yako kama wengine walivyo na yao. Navyojua licha ya MUM kuwa na changamoto kadhaa lakini bado ni Chuo Kikuu kinachotoa wanahabari wazuri tu hasa kwenye michezo mfano ni Ahmed Alฤซ mkurugenzi wa Habari wa klabu ya Simba na wengine kibao.

Mimi pia nimesoma MUM, B.A Education nataraji kuhitimu mwaka huu. Katika wiki ya Innovation Tanzania, Costech kwa kushirikiana na Anzisha Ventures waliandaa "pitching contest" (sidhani km hata unajua maana yake) kwa wanafunzi wa vyuo vikuu Morogoro na Wajasiriamali , mimi Adolph Raphael Longino kutoka Muslim University of Morogoro nikawa mshindi wa Kwanza.

Mwaka huu MUM kimekuwa chuo Kikuu pekee Tanzania kutoa washiriki katika mashindano ya kimataifa ya Innovation ,Lahore, Pakistan na tumefanya vizuri.

Wewe endelea kukariri ukidhani zama hazibadiliki.
IMG-20230712-WA0027.jpg
1501458281.jpg
 
Hayo ni mawazo yako kama wengine walivyo na yao. Navyojua licha ya MUM kuwa na changamoto kadhaa lakini bado ni Chuo Kikuu kinachotoa wanahabari wazuri tu hasa kwenye michezo mfano ni Ahmed Alฤซ mkurugenzi wa Habari wa klabu ya Simba na wengine kibao.

Mimi pia nimesoma MUM, B.A Education nataraji kuhitimu mwaka huu. Katika wiki ya Innovation Tanzania, Costech kwa kushirikiana na Anzisha Ventures waliandaa "pitching contest" (sidhani km hata unajua maana yake) kwa wanafunzi wa vyuo vikuu Morogoro na Wajasiriamali , mimi Adolph Raphael Longino kutoka Muslim University of Morogoro nikawa mshindi wa Kwanza.

Mwaka huu MUM kimekuwa chuo Kikuu pekee Tanzania kutoa washiriki katika mashindano ya kimataifa ya Innovation ,Lahore, Pakistan na tumefanya vizuri.

Wewe endelea kukariri ukidhani zama hazibadiliki.View attachment 2759976View attachment 2759977
Wewe ACHA ujinga,hata Muajiri makini akiona wewe umeleta Cheti chako cha Muslim University na mwingine alete Cheti cha UDSM au Mzumbe,au UDOM au St.Augustine ujue Cheti chako ataenda kufungua vitumbua,hiko sio Chuo Kikuu ni UHARO,kwa kifupi mimi ni PhD holder hivyo naongea with confidence,hiko sio Chuo ni Uharo
 
Wewe ACHA ujinga,hata Muajiri makini akiona wewe umeleta Cheti chako cha Muslim University na mwingine alete Cheti cha UDSM au Mzumbe,au UDOM au St.Augustine ujue Cheti chako ataenda kufungua vitumbua,hiko sio Chuo Kikuu ni UHARO,kwa kifupi mimi ni PhD holder hivyo naongea with confidence,hiko sio Chuo ni Uharo
Idiot
 
Hongera kwa andiko mkuu, kiswahili kimeshiba hasa kwa sisi 'wagonjwa' wa lugha.
 
Back
Top Bottom